Uganda UMEME ESCROW ACCOUNT Fedha zatoweka

Uganda UMEME ESCROW ACCOUNT Fedha zatoweka

Mchafuzi

Member
Joined
Apr 24, 2008
Posts
45
Reaction score
21
Ndugu zangu, mambo na matatizo ya Waafrika yanafanana baada ya zogo la Escrow ya Watanganyika sasa sakata limehamia kwa jirani zetu Waganda ambako nao kwa mujibu wa Televisheni ya NTV nako fedha ya Serikali na Umeme Escrow Akaunti zimeyeyuka na sasa Watunga sheria wao wanataka uchunguzi ufanyike ili mambo yawe hadharani.Sijui nako atakuwa Singasinga wetu huyu Seth ama ni kundi jingine?

Ngoja tusikilize tuone nako kama kutakuwa na maazimio ya Bunge kama hapa Tanganyika
 
I was wishing to acknowledge the power of Museveni. . . . . . . . .hope he wont let me down!!!
 
kwa mujibu wa Televisheni ya NTV nako fedha ya Serikali na Umeme Escrow Akaunti zimeyeyuka na sasa Watunga sheria wao wanataka uchunguzi ufanyike ili mambo yawe hadharani.Sijui nako atakuwa Singasinga wetu huyu Seth ama ni kundi jingine?

Hao NTV inayomilikiwa na wakenya wakome kuingilia mambo ya uganda na kuyaongelea washughulikie ya nchini kwao ya ALSHABAB maruhuni wakubwa.
 
Juzi wakati nasoma familia 13 za Illuminata nilijikuta nacheka sana jinsi mataifa haya ya wazungu na makampuni yao yanavyoiendesha hii dunia yetu ya kimasikini,kwamba wanatengeneza mazingira ya makampuni yao kuja huku kuchuma pasipo kulipa kodi na wala kufuata sheria ambazo wafanyabiashara wengine ndo maana tunaibiwa kila siku,hapa ili kuiepusha serikali,viongozi wanaagizwa baadhi ya watu wawe sacked then siasa inaendelea ..kwetu sie waswahili haya mambo yanastua lakini kumbe ni planned way back before
 
Juzi wakati nasoma familia 13 za Illuminata nilijikuta nacheka sana jinsi mataifa haya ya wazungu na makampuni yao yanavyoiendesha hii dunia yetu ya kimasikini,kwamba wanatengeneza mazingira ya makampuni yao kuja huku kuchuma pasipo kulipa kodi na wala kufuata sheria ambazo wafanyabiashara wengine ndo maana tunaibiwa kila siku,hapa ili kuiepusha serikali,viongozi wanaagizwa baadhi ya watu wawe sacked then siasa inaendelea ..kwetu sie waswahili haya mambo yanastua lakini kumbe ni planned way back before


Haya mambo nimeyafanyia utafiti mrefu sana kiasi kwamba naona hata ujio wa Kikwete si bure.
 
Back
Top Bottom