Uganda wafwata sera za Dkt. Magufuli kubana matumizi

Uganda wafwata sera za Dkt. Magufuli kubana matumizi

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Naona hali tete inaendelea kwa EAC nzima, sasa Uganda nao wameanza kubana matumizi.

Maprof wasimamishwa njiani kuamriwa kupaki magari ya chuo kipindi cha likizo na hakuna safari yoyote juu yao unless imepitishwa na waziri wa elimu.
Mama janeth museveni....

Cc: Prof. Ndalichako (Waziri)

IMG-20161111-WA0013.jpg
IMG-20161111-WA0011.jpg
IMG-20161111-WA0013.jpg
IMG-20161111-WA0001.jpg
 
Back
Top Bottom