Uganda wakamata wageni wanaomiliki vitambulisho na passport feki. Je, Tanzania tupo salama kiasi gani na uhalifu huu?

Uganda wakamata wageni wanaomiliki vitambulisho na passport feki. Je, Tanzania tupo salama kiasi gani na uhalifu huu?

The Sheriff

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2019
Posts
747
Reaction score
2,112
Huko nchini Uganda baadhi ya watu wameendelewa kutiwa mikononi mwa polisi kuwa kumiliki nyaraka kama vile vitambulisho na passport za nchi hiyo ambazo ni feki. Polisi nchini humo inaeleza kuwa raia wengi wanaokamatwa wakimiliki nyaraka hizo ni kutoka nchi kama vile Rwanda, Burundi, Kenya, Sudan Kusini na DR Congo. Tanzania haijatajwa miongoni mwa nchi hizo, na hii ni habari njema.

Swali langu ni je, Tanzania tupo salama kiasi gani na uhalifu wa namna hii?

 
Sio Tanzania, hiyo hata marekani Canada na Australia yapo hayo mambo. Kuna watu kila nchi kutemper na system ni dakika moja
 
Hapa kwetu labda tuwakamate vibaka wa mtaani na wapinzani wa kisiasa.
 
Tanzania wapo wengi sana. Wengine ni wenyeviti wa Chama Cha Majambazi (CCM) na wengine wasaidizi wa karibu wa Kizimkazi.
 
Sidhani kwa Tz kama inahitaji kuvipata kwa kufoji wakati wanaweza kuvipata original kwa rushwa!
 
Huko nchini Uganda baadhi ya watu wameendelewa kutiwa mikononi mwa polisi kuwa kumiliki nyaraka kama vile vitambulisho na passport za nchi hiyo ambazo ni feki. Polisi nchini humo inaeleza kuwa raia wengi wanaokamatwa wakimiliki nyaraka hizo ni kutoka nchi kama vile Rwanda, Burundi, Kenya, Sudan Kusini na DR Congo. Tanzania haijatajwa miongoni mwa nchi hizo, na hii ni habari njema.

Swali langu ni je, Tanzania tupo salama kiasi gani na uhalifu wa namna hii?

Huku si kwamba wanavyo fake wanavyo OG
 
Back
Top Bottom