Uganda wana import Gold from Tanzania kwani hapa hamna refinery?

Uganda wana import Gold from Tanzania kwani hapa hamna refinery?

davedas

Senior Member
Joined
Feb 18, 2015
Posts
163
Reaction score
123
Nimeona the citizen wanapost kuwa uganda ina import zaidi kutoka Tanzania kuliko Kenya kijuujuu hii ni habari nzuri lakini ukicheck una kuja kuta ni gold/dhahabu ndo inaongoza sasa naijiuliza kwani hapa Bongo hamna refinery mpaka wanapeleka Uganda?
Au kuna nini Uganda ambacho kinafanya wachimbaji wetu wakimbilie uko na waache Tz?
Mbona niliona Serikali ilitengeneza refinery kule Mwanza na mama alienda kuizindua why now bado tunapeleka gold Uganda?​
 
Nimeona the citizen wanapost kuwa uganda ina import zaidi kutoka Tanzania kuliko Kenya kijuujuu hii ni habari nzuri lakini ukicheck una kuja kuta ni gold/dhahabu ndo inaongoza sasa naijiuliza kwani hapa Bongo hamna refinery mpaka wanapeleka Uganda?
Au kuna nini Uganda ambacho kinafanya wachimbaji wetu wakimbilie uko na waache Tz?
Mbona niliona Serikali ilitengeneza refinery kule Mwanza na mama alienda kuizindua why now bado tunapeleka gold Uganda?​
Refinery zipo ila ni ndogo
Tanzania ingetakiwa ijenge refinery ya gold tzs billion 200 unajenga refinery kubwa ya kutosheleza majitaji ya ndani na nje ila tuko tayari kutenga billion 500 kwa ajili ya magari ya kifahari
Maisha ni kipaumbele
 
Refinery zipo ila ni ndogo
Tanzania ingetakiwa ijenge refinery ya gold tzs billion 200 unajenga refinery kubwa ya kutosheleza majitaji ya ndani na nje ila tuko tayari kutenga billion 500 kwa ajili ya magari ya kifahari
Maisha ni kipaumbele
Dah kwahyo hata ile ya Mwanza bado haitoshi?
 
Refinery zipo ila ni ndogo
Tanzania ingetakiwa ijenge refinery ya gold tzs billion 200 unajenga refinery kubwa ya kutosheleza majitaji ya ndani na nje ila tuko tayari kutenga billion 500 kwa ajili ya magari ya kifahari
Maisha ni kipaumbele
Kwani ni Serikali ya Uganda imejenga? Hao ni wawekezaji na wao Uganda wako vizuri Sana kwenye kusapoti wawekezaji.

Tena wawekezaji wengi ni Watanzania wamekimbilia huko,nyie endeleeni kuita wawekezaji ni wezi
 
Kwani ni Serikali ya Uganda imejenga? Hao ni wawekezaji na wao Uganda wako vizuri Sana kwenye kusapoti wawekezaji.

Tena wawekezaji wengi ni Watanzania wamekimbilia huko,nyie endeleeni kuita wawekezaji ni wezi
Umeanza kupata akili lini?Uganda amejenga kwaajili ya dhahabu ya Sudan Mjinga wewe.
 
Nimeona the citizen wanapost kuwa uganda ina import zaidi kutoka Tanzania kuliko Kenya kijuujuu hii ni habari nzuri lakini ukicheck una kuja kuta ni gold/dhahabu ndo inaongoza sasa naijiuliza kwani hapa Bongo hamna refinery mpaka wanapeleka Uganda?
Au kuna nini Uganda ambacho kinafanya wachimbaji wetu wakimbilie uko na waache Tz?
Mbona niliona Serikali ilitengeneza refinery kule Mwanza na mama alienda kuizindua why now bado tunapeleka gold Uganda?​
Huo ni mzigo toka Drc.Hiyo ni namna tu yakuiingiza sokoni bila kelele kua ni mzigo wa damu.
 
Tozo zisizo na kichwa wala miguu, rushwa, jana janja nyingi za watumishi wa Wizara imefanya masoko ya madini aliyoanzia Magufuli yabakie kuwa ya wauzaji wadogo wadogo....mzigo wangu navuka nao njia za panya kwa Hadi kwa Musseveni!
Watumishi wa umma mnachoweza ni vikao na semina elekezi kwenye mahoteli makubwa huku mkifanya ya "Egonga"

Wacha tuuze dhahabu zetu kwa Watu wanaojua maana ya dhahabu na jinsi ya kumjali mchimbaji!
Watu ambao kila mradi WA serikali mmeharibu, bandari imewashinda, mwendokasi, shirika la ndege, NK,NK! Pumbavu zenu na tozo zenu!
 
Makala inasema Uganda Wana nunua dhahabu toka Tanzania. Sikuona mahali imesema wananunua makanikia au mchanga wa dhahabu ambayo haijasafishwa.
Kwa hiyo refinery za hapa zinafanya kazi na ndio dhahabu inayoenda Uganda.
 
Huo ni mzigo toka Drc.Hiyo ni namna tu yakuiingiza sokoni bila kelele kua ni mzigo wa damu.
Mh
Mbona sasa ni kipind iki?
Mbona miaka ya nyuma wakati wa Kenya imports za UG haikuwa hvyo.
Hapa tuna pigwa hapa.
 
Makala inasema Uganda Wana nunua dhahabu toka Tanzania. Sikuona mahali imesema wananunua makanikia au mchanga wa dhahabu ambayo haijasafishwa.
Kwa hiyo refinery za hapa zinafanya kazi na ndio dhahabu inayoenda Uganda.
Hapana
Uganda hawana bandari hvyo wananunua kwetu then wanaenda kwenye masoko ya dunia.
Sasa kwanini sisi mwenye bandari na dhahabu tusiweze kuuza nje mpaka tupite Uganda mbona tunaonyesha udhaifu hapa
 
Hapana
Uganda hawana bandari hvyo wananunua kwetu then wanaenda kwenye masoko ya dunia.
Sasa kwanini sisi mwenye bandari na dhahabu tusiweze kuuza nje mpaka tupite Uganda mbona tunaonyesha udhaifu hapa
Mkuu Uganda pia ni soko la Dunia, dhahabu safi kawaida inasafirishwa kwa ndege na sio meli. Kwa hiyo Uganda wao inawezekana Wana wateja wao Dubai ambako inaenda.
Muhimu siku hizi muuzaji na mnunuzi wanajua bei ya soko online kwa hiyo hakuna kupunjana.
 
Mkuu Uganda pia ni soko la Dunia, dhahabu safi kawaida inasafirishwa kwa ndege na sio meli. Kwa hiyo Uganda wao inawezekana Wana wateja wao Dubai ambako inaenda.
Muhimu siku hizi muuzaji na mnunuzi wanajua bei ya soko online kwa hiyo hakuna kupunjana.
Embu nieleweshe fresh
Why Dubai hawataki kununua from Tz direct wanataka kununua gold ya Tz kupitia Ug?
 
Refinery zipo ila ni ndogo
Tanzania ingetakiwa ijenge refinery ya gold tzs billion 200 unajenga refinery kubwa ya kutosheleza majitaji ya ndani na nje ila tuko tayari kutenga billion 500 kwa ajili ya magari ya kifahari
Maisha ni kipaumbele
Watanzania tunahitaji kufikiwa na viongozi kwa urahisi kuliko hiyo huduma ya refineries ya madini🤣🤣
 
Na Kenya wananunua Tanzanite yetu kuliko maelezo.
 
Umeanza kupata akili lini?Uganda amejenga kwaajili ya dhahabu ya Sudan Mjinga wewe.
Wewe ni zaidi ya mpumbavu,kama amejenga Kwa Ajili ya Dhahabu ya Sudan wewe Kwa akili zako za kuku unadhani Kwa nini Wana import dhahabu ya kutosha kutoka Tanzania?

Mwisho, unadhani Serikali ya Uganda ndio imejenga viwanda au sekta binafsi?

Cha kukusaidia tuu,Uganda ilipiga marufuku exports ya Madini ghafi aina yeyote na matokeo yake ndio hao wawekezaji wakajenga viwanda sio tuu gua dhahabu Hadi chuma hakiuzwi ghafi wanaunda Nondo na bidhaa zingine.

Uganda amegundua dhahabu ya kuzidi na haijaanza kuichimba Kwa kiwango kikubwa hapo anatumia ya Tanzania na Nchi zingine,so utashangaa sana.

Mwisho Tanzania Haina jeuri ya kuzuia exports ya Dhahabu ghafi Ili kulazimisha sekta binafsi kujenga viwanda vya kutosha Kwa sababu ni mojawapo ya zao wanategemea kupata Fedha za Kigeni Kwa wingi😆😆😆😆
 
Mkuu Uganda pia ni soko la Dunia, dhahabu safi kawaida inasafirishwa kwa ndege na sio meli. Kwa hiyo Uganda wao inawezekana Wana wateja wao Dubai ambako inaenda.
Muhimu siku hizi muuzaji na mnunuzi wanajua bei ya soko online kwa hiyo hakuna kupunjana.
Check link hii inasema gold inatolewa hapa then wana refine uko Uganda then wanauza nje
Yani Uganda wanapata gold nyingi kwetu kuliko wanavyopata DRC halafu nchi yetu ni ya amani kwamba uwezo wa kupumbana tuzuia uuzaji nje bila kuwa refined tunao..🤦🏾‍♂️😤
 
Back
Top Bottom