Mbona hapa bongo tupo weeeng tui!! cha msingi mrishe sana mkeo, apate virutubisho vingi!! tatizo sasa la kina Mama eti hawatki kunenepa!! hivi wanaume mnajua ile ni dawa sana?? tena mkeo akizoea nakwambia utafaidi vingi! wanapenda hao heee!!
tena anakuwekea mdomoni kabisa km demu wangu wa kihindi! jamani mwee! hii tu ndo ilifanya nipendwe mwenzenu kwani uliona wapi wanalalmika polisi?? nadhani kuna mtu kabwagwa huko akaamua kutoa siri!!