Uganda yadaiwa kuiba Eneo la Congo KM8

Uganda yadaiwa kuiba Eneo la Congo KM8

Friedrich Nietzsche

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
2,095
Reaction score
3,649
Uganda yadaiwa kusogeza mpaka na kuiba eneo la DRC 8km
IMG_9663.jpg
 
Safi Sana museveni zogeza bikon had kivu kazikasini jamaaaa wale wapumbafu san
 
Angebeba yote tu
Viongozi wao wanauza nchi kama hawana akili aah hawana kweli
Unaleta wachina wanaiba magogo kila leo
Magogo yenyewe yana miaka zaidi ya 100 yanakatwa kila leo mpaka pawe jangwa
Congo ndio nchi yenye misitu karibia ya Amazon kuna sehemu hawajafika watu
Pole yao
Madini yanabebwa kila leo na huku wakiajiri mgambo wapiganaji
 
Back
Top Bottom