Tz boy 4tino
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,598
- 1,822
Dhahabu ya wizi toka Congo DRC hata Tanzania!Uganda kuna Migodi ya dhahabu hiyo wanayochakata kiwandani inatoka wapi? Su ndo hiyo ya kutoka Congo?
Maswali ni mengi kwa kweli
Huku Tz Magu anafaa aendelee kubana sizitoke ovyo.Huko DRC sasa sijui.
That's nice.Refinery za Tanzania zinazojengwa zinaenda kuua refinery za Uganda
CongoUganda kuna Migodi ya dhahabu hiyo wanayochakata kiwandani inatoka wapi? Su ndo hiyo ya kutoka Congo?
Maswali ni mengi kwa kweli