Uganda yaitangaza tarahe 04 Juni kuwa siku rasmi ya kufungua shule zote za msingi na vyuo vikuu

Uganda yaitangaza tarahe 04 Juni kuwa siku rasmi ya kufungua shule zote za msingi na vyuo vikuu

Akilitime

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2017
Posts
581
Reaction score
758
Rais Museveni wa Uganda amelihutubia taifa na kusema kuwa tarehe 04 mwezi June shule zote za msingi, secondary na vyuo vitafunguliwa tarehe 04 June mwaka huu.

Bwana Museveni pia ameitaka wizara ya Elimu nchini humu kujitokeza hadharani kabla ya tarehe 04 ili kutoa mwongozo kamili wa masomo.

Tamko la Museveni limepokelewa kwa shangwe kubwa na waganda wengi .

Pia Museveni amesema atafungua usafiri wa umma tarehe 26.

Kwingineko dunuani tayari maelfu ya wanafunzi wameanza kurejea shuleni huku wakipewa elimu ya kujikinga huko huko shuleni .

Sources:
Cruse FM of Uganda, Amka na BBC
 
Ntafanyaj jaman jirani yangu atakuwa na barakoa. Umbali mita moja.
Na me akili hazichaji. Dah nimeisha!
 
Mh. Mama Ndalichako ni wakati wako sasa kutangaza tarehe rasmi kwa Tanzania kufungua Vyuo. Ili vijana waandae nauli na hela ya kujikumu pamoja na kununua vifaa kama barakoa.
 
Kiingereza ni tatizo kwa watu. Museveni alichokisema wanafunzi wanaotarajia kumaliza masomo yao mwaka huu ie finalists ndio watakaorudi shule June 4 wengine wataendelea kukaa nyumbani kwa muda usiojulikana.
 
Kiingereza ni tatizo kwa watu,museveni alichokisema wanafunzi wanaotarajia kumaliza masomo yao mwaka huu ie finalists ndio watakaorudi shule June 4 wengine wataendelea kukaa nyumbani kwa muda usiojulikana.
Yes, I agree with you.The guy is trying to mislead us with his false information,what I heard from Mr Museveni is,it is only finalists who will resume classes,the rest should keep on waiting until when the situation normalizes.Aliyeleta uzi aache kudanganya watu,uongo mbaya.
 
Back
Top Bottom