Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,509
- 3,756
Wizara ya Afya nchini humo imesema kuna ongezeko la Wagonjwa 23 baada ya sampuli 2,219 kupimwa jana na kufanya jumla ya Wagonjwa kufikia 797. Wagonjwa wapya wote ni Waganda
Katika ya Wagonjwa wapya, watano ni miongoni mwa sampuli 1,308 zilizopimwa katika maeneo ya mpakani na 18 ni miongoni mwa sampuli 911 zilizopimwa kwa watu walioonesha dalili au waliokuwa wanafuatiliwa
Aidha, Jumla ya Madereva 13; Kenya 8, Tanzania 2, Burundi 1, Eritrea 1 na Rwanda 1 wamekutwa na #CoronaVirus na kurudishwa nchini mwao
Katika ya Wagonjwa wapya, watano ni miongoni mwa sampuli 1,308 zilizopimwa katika maeneo ya mpakani na 18 ni miongoni mwa sampuli 911 zilizopimwa kwa watu walioonesha dalili au waliokuwa wanafuatiliwa
Aidha, Jumla ya Madereva 13; Kenya 8, Tanzania 2, Burundi 1, Eritrea 1 na Rwanda 1 wamekutwa na #CoronaVirus na kurudishwa nchini mwao