#COVID19 Uganda yatangaza Visa vipya 31 vya COVID19, visa 16 ni Watanzania

Watasituka badae sana

Kuwa wanapoteza muda kwenye ugonjwa wa mafua mtu anaugua na kupona mwenyewe then anaugua rena

Wanazidi kupoteza pesa za bure

Kuna wahuni wananufaika na hio fursa mpaka raisi wao asituke its too late
 
Huu ugonjwa sasa unasambazwa na madereva wa malori....kwanini serikali isifanye hata jitihada kuwapima hawa madereva.
Tumeshawaelewa nia ya kutokutangaza maambukizi....kazi tunawaachia majirani kutuumbua tu kila siku.
Kuna mtu alishatoa wazo kama hilo. Ila mpaka sasa naona serikal hailifanyii kazi. Sijui wameridhika na hali
 
Afu chama cha madaktari wanatuambia imepungua.
 
Huku tuna ambiwa yamepungu jamani!
 
Juzi hapo walikuwepo madereva wa malori kama 800 Wanapimwa mabibo,au una maanisha kupimwaje?

Wakapime mipakani. Dereva akipimwa Mabibo inaweza kumchukua siku hadi tatu kabla hajafika Mutukura. Hapo katikati anaweza kuambukizwa! Tujitahidi kuthibitisha kwa nchi jirani kuwa madereva wetu ni salama. Mpakani!!
 
Wakapime mipakani. Dereva akipimwa Mabibo inaweza kumchukua siku hadi tatu kabla hajafika Mutukura. Hapo katikati anaweza kuambukizwa! Tujitahidi kuthibitisha kwa nchi jirani kuwa madereva wetu ni salama. Mpakani!!
Kwani kuna shida gani kama kwenye gari kunakuwa na watu wasiozidi 2?
Cha muhimu ni kupimwa na kutembea kwa tahadhari,haijalishi amepimiwa wapi.
Siungi mkono serikali kufanya chochote ili kiwaridhisha hao wakenya na waganda wako.
Hizi propaganda zina mwisho wake
 
Wasipo uelewa huo mchezo wataendelea na corona hadi mwaka 2050.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…