Uganda yawashikilia wanyarwanda kwa tuhuma za upelelezi (spy)


Post yako imeniudhi kwa kutozungumzia kifo cha Rev mtikila
 
umesahau ya jenerali kombe na mtikila
 
Mkuu napenda Sana kusikia taarifa za rwanda.....

Actually Kagame is something else
Nafikir unaona hata wakulu wetu wakiiga baadhi ya mbinu kutoka kwa huyu jamaa......

Mind you Kuna kipnd nilikua nasikia watu wanauwawa mto kagera mpakan na rwanda but ckuckia mrejesho upande wapili walitangaza cjui ITV....skumbuki vizur

BUT nimesikia Sana kuhusu uvunaji wa mali za Congo na reason ya Rwanda fast growth....nafikir hapa wengi wanajua....so nimesikia kwako Tena

Nimekua nikifuatilia mgogoro wa rwanda na Uganda ...aisee haka kainch n balaaa kanajaribu kutake over millitary control over Uganda ....ukifuatia ununuzi wa fighters helicopters ( nimesahau majina yake) ili kupata leverage.....

Actually be tusipojiangalia pamoja na udogo inaweza kua regional power ya Africa mashariki......hasa na huo mpango wake wa nyuklia ....Kuna wengine wanabeza wanasema sababu n udogo but nikifikilia how Israel inatamba middle East siamini udogo kama sababu kama kutakua na extra advancement katka teknology against their opponent



Kuna kipndi nilisikia anawadukua had wapinzani wake walioko nje ya Africa akishilikiana na Israel....wanadukuliwa kupitia wasap.....source BBC nilisoma....


So kama unataarifa za ivi ....mkuu zishushe
 
Usiwe mwepesi wa kutekwa na maigizo ya mashosti wawili. Museveni - Kagame - Kabila ni umoja imara usioyumba. Wenye ufahamu tunaelewa lengo la kiini macho hicho.
Afu we Aya mapost yako huwa nadhan Mimi ndo nimejibu daaah[emoji3][emoji2][emoji2]
 
Magazeti ya rwanda na ya uganda yamekuwa yakilaumiana kwa jambo hilo wiki moja iliyopita.ulitaka tuongelee tusiyoyaona?sisi sio malaika hatuwezi jua kama ni maigizo au la wewe unayeona ya rohoni tujuze
[emoji3][emoji3][emoji2][emoji2]Aya majibu yanauzi ila ndo ukweli
 
At least for now,!!!... Israel beats Egypt.....kushinda Vita syo tu millitary personnel s tu....
 
At least uchambuz wako unaleta sense
 
Yaani watanzania wakisikia spy wanawaza wakudukua habari za kijeshi,usalama au kuua tu.spy wanaweza kuwa wa mambo mbalimbali sio lazima iwe katika usalama
Nikweli....spy n hatari kuliko anaekua randomly bila lengo kuu...spy anapeleka taarifa za udhaifu wako na plan so n easily kuzitumia kama advantage
 
Rwanda is overrated mkuu, Slim kweli Kichwa kimechangamka ila nikuambie tu hana ubavu wa Kufanya chochote katika ukanda huu anashindana na hao waganda na wakongo walio lala, Nkuambie tu Rwanda hana ubavu wa kupiga chafya hata kwa Kenya achilia mbali giant state kama The United republic of Tanzania, We are strong fatilia operation kimbunga time ya mkwere ndo utajua huu ukanda sisi tukiamua watu walale saa kumi jioni tunaweza kabisa
Mimi nimfatiliaji mzuri wa siasa na Maisha ya Rwandese haswa national level, Slim nimuoga sana ndio mana Cabinet yake Wanawake ndio wame dorminate. Lakini Karma huwa haipotezi adress damu ya Fred inamlilia sana Paka
 
Kifo cha nkurunzinza pk alitaka kuchukua advantage ya kuweka mtutsi,yule spika wangejaribu kumuweka pale ndio ingekua imetoka hiyo,fasta wazee wa kazi TZ tukaingilia kati,burundi ilikua inaingia kwenye machafuko tena km si kumuapisha ndayishimiye fasta
 
Haya nambie actions zilizochukuliwa na kipnd kile watz mto kagera wanapgwa risasi....au wamtwara vs msumbuji insurgents
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…