Hilo daraja linalopita baharini tunalo tayari, na tunajenga jingine tena salander bridge.Eti Dar na Maputo?[emoji16][emoji16]....pengine mjipee miaka kama twenty ndio mfike ligi ya MaputoView attachment 1125902View attachment 1125903
Me ndo nashangaa huo uzuri wa Maputo niHilo daraja linalopita baharini tunalo tayari, na tunajenga jingine tena salander bridge.
Skyscrapers ndio tunazo zakutosha Nonsense
Ndio Maputo imeisha au[emoji23] [emoji23]Eti Dar na Maputo?[emoji16][emoji16]....pengine mjipee miaka kama twenty ndio mfike ligi ya MaputoView attachment 1125902View attachment 1125903
Wacha madharau wewe Kampala ndio city us tatu kwa huu ukanda achilia Arusha ata Mombasa yenyewe haiwezi fikia kampalaBtw Kampala kuna nn jaman Ile si kama Arusha tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Nikianza kupost picha za Maputo utakimbia wewe[emoji16]Ndio Maputo imeisha au[emoji23] [emoji23]
Kampala hamna kitu mbele ya MombasaWacha madharau wewe Kampala ndio city us tatu kwa huu ukanda achilia Arusha ata Mombasa yenyewe haiwezi fikia kampala
[emoji41]Ndio Maputo imeisha au[emoji23] [emoji23]
Kampala hamna kitu mbele ya MombasaView attachment 1125937View attachment 1125938View attachment 1125940
Wakiwashinda wanakuwa wareno chotara?? Dar is sluum is only famous in Tanzania/JF hata watu wengi wanafikiri ni mkoa hapa Kenya au Kijiji chakuvulia samaki Pwani ya Kenya.Maputo nini weweee....
Wareno chotara wale si kitu mbele ya Dar, heb acha zako ww
Kwa Dar hyo city itahema sana najua Maputo bado haijakomaa kivile
Haha Nairobi inafahamika na nn Kwan?[emoji23] [emoji23] [emoji23] watu wanajua kuna Kenya hawajui hata Nairobi Ni kitu ganiWakiwashinda wanakuwa wareno chotara?? Dar is sluum is only famous in Tanzania/JF hata watu wengi wanafikiri ni mkoa hapa Kenya au Kijiji chakuvulia samaki Pwani ya Kenya.
Next[emoji41]also bring the land mark development of the city.
Maybe unaifananisha na Mwanza lakini sio hivyoKwa Dar hyo city itahema sana najua Maputo bado haijakomaa kivile
Hii city bado sana man...Dar inaheshima yakeMaybe unaifananisha na Mwanza lakini sio hivyoView attachment 1125964View attachment 1125965View attachment 1125966View attachment 1125967
Haha Nairobi inafahamika na nn Kwan?[emoji23] [emoji23] [emoji23] watu wanajua kuna Kenya hawajui hata Nairobi Ni kitu gani
Sawa.... lakini ujue Maputo iko level tofauti ukilinganisha na DarHii city bado sana man...Dar inaheshima yake