Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante mkuu! .. na je kwa wale wanao rithishana, utaratibu ni upi je mganga wa kike anaweza kumrithisa wa kiume? .. nifafanulie kama kuna lolote unalolijua kuhusu hili mkuu!Mambo ya uganga na uchawi yamebadilika sana siku hizi kwani hata ulimwengu wa roho hufuata hali na mwenendo wa binadamu kama vile technolojia, utamaduni n.k.
Siku hizi wapo wengi sana wanakuwa wachawi na waganga wa jadi bila hata kurithishwa na mtu...
Inawezekana kabisa siku hizi bibi akamrithisha uchawi mjuu wake wa kiume, nimeona visa kadhaa mambo yamebadilika na ujanja wa kuzimu umebadilika pia. Tuwe makini.asante mkuu! .. na je kwa wale wanao rithishana, utaratibu ni upi je mganga wa kike anaweza kumrithisa wa kiume ? .. nifafanulie kama kuna lolote unalolijua kuhusu hili mkuu!
hahaha!Mkuu ukirithi usimsau mtoto wako mwelevu kumuachia mikoba