Hee mgeni kuja taratibu,haraka haraka haina baraka.
Unaulizia how safe u r ili iweje kwan haukuona max alivyotetea maslah ya members wa humu ulipokua guest? Maswali mengin ni kero ujue,ujuaji mwiiingi sio mzuri
Kubadili id na mengineyo nenda jukwaa la members only utajua nn cha kufanya
welcome and all the best