Ugomvi mwingine ni majanga!

Anatafuta talaka ya uzeen huyu bi ajuza.
 
Binafsi nimejikuta nasikitika tu, kwani hawa wenzetu wanapendaga kushindana na kutafsiri wanavyoweza wao???Mbona sie Wakristo hatuna hayo mambo, hata kama unaona kuna matusi kama yy anavyodai achana nayo hayakuhusu, kila mtu ashike Imani yake, haya mambo sio ya kuyashadadia kabisaaa
 
Ni pimbi tu huyu bi ajuza FaizaFoxy .Hata heshima yake siku hiz ilishaishaga humu jf.Inawezekana kapatwa na shida ya akil
 
Kwani biblia ipo kwa ajili ya wakristo tu? Si kwa wengine?
 
Sasa biblia ipomkwa ajili ya wakristo tu? Si kwa wengine?
Labda kwa wenzako wasokuwa na kashfa kama ww,hizo ni dharau ,kwanza unaiandikaje bi badala ya Bi,ww kama na Imani yako na sisi tuache na Imani yetu basi, mbona ww mtu mzima???Vitu vingine acha wafanye wenye uelewa mdogo , achana na Imani za watu
 
Labda kwa wenzako wasokuwa na kashfa kama ww,hizo ni dharau ,kwanza unaiandikaje bi badala ya Bi,ww kama na Imani yako na sisi tuache na Imani yetu basi, mbona ww mtu mzima???Vitu vingine acha wafanye wenye uelewa mdogo , achana na Imani za watu
Sasa kama unaona mistari ya biblia ni dharau inabidi ujiulize ni Mungu kweli aliyoandika hiyo comedy?

Nambie mstari upi ni wangu hapo?
 

(M) ungu sio mungu

Back to school Dude

SWISSME
 
Nimeishia hapa kusoma hii thread
Jamaa kamshinda "mungu" kwa kupitisha mkono na "kumgusa" kwenye
"uvungu" wa paja la "mungu".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…