Ugomvi mwingine ni majanga!

Examples of this form of articulation are found in the hip, where the round head of the femur (ball) rests in the cup-like acetabulum(socket) of the pelvis; and in the shoulder joint, where the rounded upper extremity of the humerus (ball) rests in the cup-like glenoid fossa (socket) of the shoulder blade.[2] (The shoulder also includes a sternoclavicular joint.)
25 When the man saw that he could not overpower him, he touched the socket of Jacob’s hip so that his hip was wrenched as he wrestled with the man.


kutoka: 22D Arnold st.
 
Naisoma sana biblia. Nakumbana humo na vichekesho, matusi, visa na mikasa na vingi visivyoingia akilini na vichache sana vyenye maana.

Jamaa alishika uvungu upi?
Hata kama alishika huo uliomo akilini mwako kwani babawako ukiwa mdogo akuwahi kukutawaza akashika uvungu uliomo akilini mwako. Acha ujinga wewe. Akili zanu huwa zinawaza ngono tu. Ndio maana huwa mnalundikwa watatu ndani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante sana mama, unajua hiki kibibi kilijua kuna watu watakuja kuanza kukashifu uislam ili kipate kilichotarajia sasa imegeuka tofauti na hakijapata any support ndo maana kimebaki alone!
Naomba sana wachangiaji wengine wasishambulie dini nyingine bali tumjibu bibi kama bibi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna tafsiri hapo nimeweka na mistari ya biblia. Tafsiri wewe.

Usijidai mjuaji, unadhihaki tu, paja ni la nani? Si vyema ukudhihaki wakati aujui lolote....... unasoma mistari inayo support na kushibisha dhihaka yako bile kuelewa na kurukia mambo
 
Naisoma sana biblia. Nakumbana humo na vichekesho, matusi, visa na mikasa na vingi visivyoingia akilini na vichache sana vyenye maana.

Jamaa alishika uvungu upi?
Faiza unapenda sana ligi ?! . Natamani kukutana na wewe lakini ndiyo haiwezekani, Mimi ni mzee najifia huku kijijini . Kikubwa vilivyoko kwenye vitabu vyetu hivi vya Imani (Bible & Qur'an ) visikuchanganye na hamuokoi mtu kutoka dhambini, bali imani na matendo yako kwa Mwenyezi Mungu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
achana naye huyo bibi ana matatizo sana.... alafu nasikia ni kizee cha makamo kabisa ila kina mambo yakipuuzi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama unaona mistari ya biblia ni dharau inabidi ujiulize ni Mungu kweli aliyoandika hiyo comedy?

Nambie mstari upi ni wangu hapo?
Inategemea na tafsiri yako !! Ikilenga kujifunza utaelewa lakini ikilenga kutafuta dosari hutaelewa.

Katika Ukristo kuna madarasa ya kujifunza na kuelewa. Siyo kukariri . Kwa hiyo jiunge madarasa haya utauliza maswali yako humo na utaelewa. Humu Jf ni kuzodoana na hutaelewa chochote [emoji87]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We mama unakoelekea siku izi, Mungu akusaidie tu mana sio yule niliyemfahamu kipindi kile. Naisi kama wamekufanyia Cloning,
 
Nimejifunza, binaadam anaweza kupigana na Mungu na akamshinda, au siyo? Kama siyo, nipe wewe mafundisho ya hicho kisa. Mimi kimenifurahisha sana na kunichekesha.
 
Tujuze na uzee wako, hicho kisa kinafundisha nini? Ni tukio la kweli hilo lililorikodiwa kwenye biblia au ni hekaya tu kama ya abunuasi?
 
Ana matatizo kichwani huyu.na hata kama mtu amekosa la kufanya ndo afanye hili..haingii akilini
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo umeitafsir Biblia vibaya Mkuu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nitaenda kupasoma tena vzr!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We mama unakoelekea siku izi, Mungu akusaidie tu mana sio yule niliyemfahamu kipindi kile. Naisi kama wamekufanyia Cloning,
Kwi kwi kwi teh teh teh.

Nimeanza alfajiri, nimesoma Qur'an, nimeswali, nikachemsha kahawa nikachukua biblia, kufunguwa nikakutana na hiyo joke, nikacheka sana na kufurahi nikisema niishare furaha yangu na wezangu wa JF. Kumbe ni majanga!

Mwalimu wa imla hakukufinya kuandika jina kwa kuanza na herufi ndogo ety?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu siyo jina. Kamuulize Mwalimu wako akueleweshe vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…