inahitajika uwe na busara ya hali ya juu sana otherwise baadaye kuna uwezekano wa wewe kuchukiwa na upande mmoja. Kuna jamaa mapacha walimtwanga baba yao kisa mama yao alichelewa kurudi home, miaka hiyo ya themanini hakuna vi cellular basi mama kaja saa nne usiku baba kanuna kishenzi anamuuliza ulikuwa wapi mama anasema kachelewa sababu wageni walikuwa wengi kwa kaka yake so asingeweza ondoka mapema bila kuhakikisha wageni wale wameondoka. Mmewe hakuridhika si akamkata mkewe kibao, mama akapiga yowe nakufaaaaa wale twins wakaja walipoambiwa maza kapigwa na dingi duu si wakamvaa dingi eti Baba usitupigie mama yetu, kwanza wewe huyu ni MPENZI WAKO TU, sisi huyu ni MAMA YETU tafadhali tutaKUUWA usituumizie mama yetu hahahahahaha dingi alikoma. Cha msingi ni kuwa muungwana kwa pande zote.