Kwa maelezo yako vinaweza kuwa ni GENITAL WARTS. Hii genital warts ni upele unaota lkn sio upele kamili ni km uvimbe unaota km ua hivi then unasambaa sehemu za haja kubwa. Ni ugonjwa wa zinaa ambao hutokana na mtu kuwa na multiple partiners. Na ugonjwa huu husababishwa na virus vinavyoitwa HUMAN PAPILOMA VIRUS TYPE 6, au 16, 32 na pia zipo virus type nyingine. Kwa kawaida mwanamke anaweza kupata hivi virus na akawa anavisambaza pale anapokuwa na mahusiano na wanaume tofauti. Hivyo kuueneza ugonjwa, na mara nyingi wanawake hupata cervical cancer au genital warts ambayo husababishwa na hivi virus na mwanaume hupata pia na pia huweza kusambaa hadi kwenye puru na kusababisha cancer ktk njia ya haja kubwa.
Matibabu ni kuvikata hivi vipele na kupaka cream au poweder iitwayo podophyllin.
Pia epuka wapenzi wengi kuepusha maambukizi mapya ama kuwaambukiza ambao hawana.
Huo ndio mchango wangu.