Ugonjwa gani huu

BIG X

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2011
Posts
777
Reaction score
212
Habari, Hii siku ya tano sasa nikienda kukata gogo kwa choo harufu inayotoka si mchezo, mi mwenyewe nataka kukimbia, utadhani mfereji wa maji machafu. Jamani ni tatizo gani hili!!.
 
Nenda maduka ya dawa za kienyeji, ulizia sanamaki, chemsha kunywa kama chai ya rangi. Mambo swaaafi kabisa.

Ni kula bila mpangilio tu hamna zaidi.
 
Huli matunda,, kula matunda kunywa maji ya kutosha na fanya mazoezi utapata choo laini na jirani hatajua kama kuna mtu chooni
 
Huli matunda,, kula matunda kunywa maji ya kutosha na fanya mazoezi utapata choo laini na jirani hatajua kama kuna mtu chooni

Matunda najitahidi sana kula
 
kiafya kinyesi kikinuka mpaka kukukera wewe binafsi ni product ya kutokula chakula healthy!Badili misosi unayokula utaona mabadiliko!
 
Fanya examination ya stool,. Lab technician aangalie Sternobilinogen
 
Habari, Hii siku ya tano sasa nikienda kukata gogo kwa choo harufu inayotoka si mchezo, mi mwenyewe nataka kukimbia, utadhani mfereji wa maji machafu. Jamani ni tatizo gani hili!!.

Mkuu kula mboga za majani na ziive dk 5 tu,kula matunda na maji mengi.kula matunda nusu saa baada ya kula na maji nusu saa baada ya matunda.
 
Nenda maduka ya dawa za kienyeji, ulizia sanamaki, chemsha kunywa kama chai ya rangi. Mambo swaaafi kabisa.

Ni kula bila mpangilio tu hamna zaidi.

Hehehehrereeee

Aangalie poa vipimo vingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…