Jongoo Mpendawa2
Member
- Mar 12, 2015
- 25
- 2
Asante sana kakainawezekana usimletee tatizo lolote sio kila mtu anaumwa ugonjwa unaoumwa ww pia kwenye science tunahesabu ugonjwa mpaka tuone dalili ndo tunasema unaumwa sasa kama dalili hana tuna muita carrier mfano binadamu wanavijitudu either bacteria au fungus hao ni vijidudu vipo tumboni, mdomo, kwenye uke wakianza kuleta dalili ndio tunasema unaumwa hizo dalili hutokana either na matumizi ya dawa ambayo inasababishwa na abnormal imbalance of vagina flora na sababu nyingine nyingi