Ugonjwa Kuwashwa katikati ya Vidole

Ugonjwa Kuwashwa katikati ya Vidole

JOHNGERVAS

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2016
Posts
1,011
Reaction score
1,681
Habari wakuu, mada hapo juu inahusika.

Nina mdogo wangu ana Miaka 23 wa Kiume amekutwa na Ugonjwa wa Ajabu wa kuwashwa mwili mzima. alienda Hopsitali wakamwambia ni Mzio yaan aleji ambayo ilisababishwa na Ile dawa ya Mbu ya Kupaka.

Walimpa dawa za aleji akatumia amepona japo kwa sasa amekuwa akiwashwa sana katikati ya Vidole vya Mikono, kuna Vipele vinajitokeza ukivipasua vinatoa Usaha.

Shida Hii inaweza kuwa ni nini wazee? dawa gani nzuri ya kutumia Vidonge au Cream?
 
Nashauri arudi hospital, kama dawa ya mwanzo ili msaidia kupona the rest of the body kasoro sehemu za vidole its a good sign aidha abadilishiwe dawa au aongezewe, kuna posibility kubwa kucure.
ok sawa
 
Habari wakuu, mada hapo juu inahusika.

Nina mdogo wangu ana Miaka 23 wa Kiume amekutwa na Ugonjwa wa Ajabu wa kuwashwa mwili mzima. alienda Hopsitali wakamwambia ni Mzio yaan aleji ambayo ilisababishwa na Ile dawa ya Mbu ya Kupaka.

Walimpa dawa za aleji akatumia amepona japo kwa sasa amekuwa akiwashwa sana katikati ya Vidole vya Mikono, kuna Vipele vinajitokeza ukivipasua vinatoa Usaha.

Shida Hii inaweza kuwa ni nini wazee? dawa gani nzuri ya kutumia Vidonge au Cream?
Habari, licha ya hayo Kuna shida Sasa inayotokana na utumiaji wa mafuta ya kula kuwa na kemikali nyingi hivyo fanyeni utafiti juu ya hili napia anaweza kufunga angalau mara 2 kwa wiki ingawa akiwa kwenye funga anaweza kunya maji ilikutoa sumu mwilini
 
Habari, licha ya hayo Kuna shida Sasa inayotokana na utumiaji wa mafuta ya kula kuwa na kemikali nyingi hivyo fanyeni utafiti juu ya hili napia anaweza kufunga angalau mara 2 kwa wiki ingawa akiwa kwenye funga anaweza kunya maji ilikutoa sumu mwilini
ok
 
Back
Top Bottom