suzy daniel
Member
- Mar 12, 2014
- 57
- 10
Ndugu zangu wataalam wa sience kuhusu magonjwa,
Kuna masage nimetumiwa inasema hivi, kuna ugonjwa ambao umeingia kwa wanawake ugonjwa huo ni wakuvimba sehemu za mwanamke(mashavu ya uke) baada tu ya tendo la ndoa na uvimbe huo husababshwa na fangasi.
Swali langu: Je, nikweli kuvimba kwa sehemu hiyo baada ya tendo la ndoa husababshwa na fangas? Au ni dalili ya ugonjwa gani? Na unasababishwa na nini?
Kuna masage nimetumiwa inasema hivi, kuna ugonjwa ambao umeingia kwa wanawake ugonjwa huo ni wakuvimba sehemu za mwanamke(mashavu ya uke) baada tu ya tendo la ndoa na uvimbe huo husababshwa na fangasi.
Swali langu: Je, nikweli kuvimba kwa sehemu hiyo baada ya tendo la ndoa husababshwa na fangas? Au ni dalili ya ugonjwa gani? Na unasababishwa na nini?