Ugonjwa sugu Tanzania

Haya ukija Dodoma karibu kisasa tufahamiane!
 
Mkuu it's too much pain and it's hurts
Ask your self what you have done or gained, since you came to earth
Are you making it better or worse

mkuu nashare stori yangu tu siitaji kugain kitu, possibly kuna mtu ashapata hii, na kuna wataalam wengi pia wanasoma , so huwezi jua what next
 
mkuu nashare stori yangu tu siitaji kugain kitu, possibly kuna mtu ashapata hii, na kuna wataalam wengi pia wanasoma , so huwezi jua what next
Nenda kapime tena sehemu nyingine kwani vipimo vyaweza kutofautiana au kukosewa pia vimelea vya magonjwa havijafikia hatua ya kuonekana. Nenda tena hospital. Kama Kuna hali nyingine zisizoelezeka unazopitia basi yaweza kuwa mambo ya kiroho kwani kujamiiana ndio njia kubwa ya kuingiliwa kiroho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…