Ugonjwa sugu

Oppo A17k

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2020
Posts
904
Reaction score
2,708
Wadau wenzangu labda nyie mnaweza kua Na majibu ambayo nimeyatafuta kwa muda mrefu sasa maana yapata muda wa miaka miwil

Nimekua nikisumbuliwa Na kitu kinacho itwa jipu ( naamini nimeeleweka ninacho maanisha)
Haka kadude bhana kamenisumbua kwa muda wa miaka miwil nimetumia dawa niliyopewa Na dactari lakini baada ya wiki mbili kameludi tena wadau wangu

Sasa kama unajua tiba au njia ya kufanya ili nipone wadau wangu nisaidieni wapendwa ( kameota kwenye paja)

Sasa mbaya zaidi kakiiva kanatoa usaha unaonuka sana
Msaada kwenu wadau
 
Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT upate kufaidi.
 
poleeee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…