Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,374
- 6,857
Mara ya mwisho niliusoma huu ugonjwa wakati nipo shule ya msingi,zaidi ya miaka 20 iliyopita!! Huu si mwingine ni ugonjwa wa Tauni. Sijafahamu bado scientific name yake lakini ni ugonjwa unaoambukizwa na jamii flani ya Panya. Ukiumwa na Panya basi upo hatarini kuupata huu ugonjwa.
Inasadikika kwamba huu ugonjwa ukifika mapafuni( Tauni ya mapafu) hauzidi zaidi ya masaa 8 kabla hujabadilishwa jina na kuitwa Marehemu. Ni ugonjwa unaoambukizwa kwa njia ya hewa toka kwa mtu mmoja na kwenda kwa mwingine. Kwa maneno mafupi niseme ivi, kama kuna mtu anayeumwa tauni ya mapafu amepanda basi(bus) kwa umbali wa masaa zaidi ya 10 basi abiria woooote katika lile basi watashuka wakati wameambukizwa huu ugonjwa!!
Na tayari huko Tanga kwa current news umeshaua watu 680 hadi sasa hivi, na watu zaidi ya 7000 wameshaupata huu ugonjwa. Tunashauriwa kuua Panya majumbani kwa zaidi tuwezavyo, ni hatari. Chukua hatua!!
Inasadikika kwamba huu ugonjwa ukifika mapafuni( Tauni ya mapafu) hauzidi zaidi ya masaa 8 kabla hujabadilishwa jina na kuitwa Marehemu. Ni ugonjwa unaoambukizwa kwa njia ya hewa toka kwa mtu mmoja na kwenda kwa mwingine. Kwa maneno mafupi niseme ivi, kama kuna mtu anayeumwa tauni ya mapafu amepanda basi(bus) kwa umbali wa masaa zaidi ya 10 basi abiria woooote katika lile basi watashuka wakati wameambukizwa huu ugonjwa!!
Na tayari huko Tanga kwa current news umeshaua watu 680 hadi sasa hivi, na watu zaidi ya 7000 wameshaupata huu ugonjwa. Tunashauriwa kuua Panya majumbani kwa zaidi tuwezavyo, ni hatari. Chukua hatua!!