magonjwa mengi ya akili husababishwa na kupungua au kuongezeka kwa vichochezi vya ubongo (dopamine, serotonin na catecholamines) sasa mara nyingi vikizidi mtu anakuwa na kichaa cha kuchangamka (mania) vikipungua anakuwa na kichaa cha upole (depression), au anaweza kuwa anaswitch upole na kuchangamka (bipolar disorder). pia hivi vichochezi huwa vina athari kutokana na eneo la ubongo lililoathirika mfano ubongo wa mbele unaohusika na kufikiri ikiathirika mtu mtu anakuwa na ufikiri mbovu, sehemu ya ubongo inayohusika na motio (striata nigra kama sijakosea) basi mtu anashindwa kumove kama wale wenye parkinsonism. hope you will comprehend.
kuna kitu inaitwa cognitive therapy, ni tiba ya kisaikolojia sababu hizi mental illness mara nyingi zinakuwa triggered na psychological problems ukiachana na wale waajali. hapa mgonjwa hufanyiwa psychoanalysis kugundua kitu kinachomsumbua na ndipo njia ya utatuzi hutafutwa matokeo hutegemea adherence ya mgonjwa kwenye maelekezo na kama tatizo lililogunduliwa ni lenyewe, nahisi inakuwa effective zaidi kabla ugonjwa haujamuathiri sana mgonjwa kiasi ashindwe kujitambua. ni tiba yenye matokeo kwa watu waliochanganyikiwa sababu ya mapenzi, ugumu wa maisha, masomo na mambo kama hayo