Arafat Bahdellah Member Joined Jan 15, 2013 Posts 77 Reaction score 27 Jul 23, 2014 #1 Natumai hamjambo wandugu, Kabla ya Bunge la Bajeti kuanza, kuliibuka khabari za huu ugonjwa wa Dengu, lakini sasa imekuwa kimyaaaaaaa, Ukimya huu unaashiria nini? Updates tafadhari.
Natumai hamjambo wandugu, Kabla ya Bunge la Bajeti kuanza, kuliibuka khabari za huu ugonjwa wa Dengu, lakini sasa imekuwa kimyaaaaaaa, Ukimya huu unaashiria nini? Updates tafadhari.
Bilionea Asigwa JF-Expert Member Joined Sep 21, 2011 Posts 16,515 Reaction score 28,506 Jul 23, 2014 #2 Serikali imefulia haina hela ya kutoa fungu ku-finance mkakati wa kupambana na dengue. Hivyo waliotunga ile mbinu ya kunyakua fungu hazina wanaandaa single nyingine ya kuwadanganya wadanganyika...
Serikali imefulia haina hela ya kutoa fungu ku-finance mkakati wa kupambana na dengue. Hivyo waliotunga ile mbinu ya kunyakua fungu hazina wanaandaa single nyingine ya kuwadanganya wadanganyika...