Ugonjwa wa gono kwa mwanamke

Wamazombe

Member
Joined
Mar 25, 2013
Posts
15
Reaction score
6
kuna rafiki yangu mke wake ana ugonjwa wa gono ma anasema hajafanya mapenzi nje ya ndoa. Je, kuna uwezekano kwa mwanamke kupata ugonjwa huu bila kuambukizwa? Nisaidieni wana JF
 
kuna rafiki yangu mke wake ana ugonjwa wa gono ma anasema hajafanya mapenzi nje ya ndoa.je kuna uwezekano kwa mwanamke kupata ugonjwa huu bila kuambukizwa?nisaidieni wana jf
Ni wewe

sio huyo Rafiki yako. Nenda Hospitali wewe na mume wako mukatibiwe kama hujakwenda nje kulipata hilo gono basi

atakuwa huyo mume wako ndio aliyekuambikiza hilo gono nendeni wote wawili mukamuone Daktari awatibieni nyote wawili

mutapona.
 
kuna rafiki yangu mke wake ana ugonjwa wa gono ma anasema hajafanya mapenzi nje ya ndoa.je kuna uwezekano kwa mwanamke kupata ugonjwa huu bila kuambukizwa?nisaidieni wana jf

gono ndo basi la wapi?
 
Ni wewe

sio huyo Rafiki yako. Nenda Hospitali wewe na mume wako mukatibiwe kama hujakwenda nje kulipata hilo gono basi

atakuwa huyo mume wako ndio aliyekuambikiza hilo gono nendeni wote wawili mukamuone Daktari awatibieni nyote wawili

mutapona.

watu wengine wanachosha..........kwani akisema ni yeye nani anamjua.............
 
watu wengine wanachosha..........kwani akisema ni yeye nani anamjua.............

Anaionea aibu computer, ni lile wazo tu la kwamba kuna watu wengine katika forum.

Hujawahi kuona mtu anapiga magoti wakati anasalimia kwenye simu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…