Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,111
- 2,781
Wakuu wa Nchi naomba kuuliza hivi mtu akiwa na ugonjwa wa kisukari Anaweza kupata tatizo la kutokuwa na mbegu za kiume ? Na kama ndio Kuna Dawa ambazo zinaweza kumsaidia kurudisha sperms production.
Msaada please.
Msaada please.