Lastmost
JF-Expert Member
- Jan 30, 2022
- 802
- 919
Salaam,
Habari za mchana huu?
Wadau ninaomba kujua kwa mwenye uelewa wa huu UGONJWA.
Leo nimechinja kuku, nikakuta utumbo wake una vipelevipele, ila kuku alikuwa mzima kabisa kabla sijamchinja.
Wataalamu naomba kujua ni ugonjwa gani na unasababishwa na nini?
Habari za mchana huu?
Wadau ninaomba kujua kwa mwenye uelewa wa huu UGONJWA.
Leo nimechinja kuku, nikakuta utumbo wake una vipelevipele, ila kuku alikuwa mzima kabisa kabla sijamchinja.
Wataalamu naomba kujua ni ugonjwa gani na unasababishwa na nini?