Ugonjwa wa kutetemeka mikono na maumivu ya mifupa

Ugonjwa wa kutetemeka mikono na maumivu ya mifupa

ypointer4

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2010
Posts
633
Reaction score
522
Wakuu,

Kama mada inavyosema hapo juu, naomba msaada wakujua tiba ya magonjwa hayo mawilii.

Maelezo;-
Kutetemeka mikono, hii hutokea mara kwa mara na zaidi zaidi pale nipofanya kazi za kutumia nguvu au hata mazoezi na mara nyingine pindi nipokasirika au kuwa na wasiwasi najikuta vidole vyote vinatikisika kwa kasi ya hali ya juu kiasi hata siwezi kuchota supu au mchuzi kwenye bakuli kwa kutumia kijiko nikanywa bila ya kumwaga kiasi kikubwa.

Maumivu ya mifupa; hili tatizo hutokea ninapo kuwa maeneo ya baridi kali.

NB: SITUMII (KUNYWA/KUVUTA) KILEVI CHA AINA YOYOTE ILE.
MAZOEZI NAFANYA CARDIO & WEIGHT TRAINING..

Nawasilisha.
 
Kama tabia gani mkuu labda nijaribu kuziepuka.
Kujitenga na watu,kukaa na kuwazia mambo flani ambayo yanakuumiza/yaliokuumiza,kuishi maisha ya kukata tamaa kama vile hutoweza kufanikiwa n.k.,kuwazia sana shida flani hivi kwenye maisha yako,unywaji wa pombe kupita kiasi,tabia mbaya kama vile kufanya excessive masturbation,kutokuhudhuria ibada n.k n.k....
 
Kujitenga na watu,kukaa na kuwazia mambo flani ambayo yanakuumiza/yaliokuumiza,kuishi maisha ya kukata tamaa kama vile hutoweza kufanikiwa n.k.,kuwazia sana shida flani hivi kwenye maisha yako,unywaji wa pombe kupita kiasi,tabia mbaya kama vile kufanya excessive masturbation,kutokuhudhuria ibada n.k n.k....
Upo sawa,
 
Pole sana na njoo inbox nikupe suluhisho la kudumu mkuu
 
My dear tafadhali nenda kwa daktari wa ubongo na uti wa mgongo kuna kitu hakiko sawa niko kinaleta hizo tremas...
Niliwahi kwenda kwa Doctor kipindi cha nyuma akaniambia huenda kuna tatizo sehemu fulani fulani kwenye ubongo (Perkinson) lakini hakunifanyia checkup yoyote zaidi alinishauri kwakuwa tatizo halikai muda wote na hutokea kama nilivyoelezea hapo juu. Basi nisitumie au niache kabisa kunywa kahawa na nianze mazoezi na kunywa maji kwa wingi. lakini tatizo bado linaendelea lwa vipindi hivyo.
 
Kujitenga na watu,kukaa na kuwazia mambo flani ambayo yanakuumiza/yaliokuumiza,kuishi maisha ya kukata tamaa kama vile hutoweza kufanikiwa n.k.,kuwazia sana shida flani hivi kwenye maisha yako,unywaji wa pombe kupita kiasi,tabia mbaya kama vile kufanya excessive masturbation,kutokuhudhuria ibada n.k n.k....
Hapa mkuu mimi sio mtu wa aina hizo hapo nawala sijapitia wakati mgumu wowote wa kupelekea tatizo hili.
 
Arthritis labda?
Mkuu Castr sinamaumivu yoyote kwenye joints bali nikikaa kwenye baridi kali baadhi ya mifupa huuma sana lakini sehemu zenye joto nakiwa kamili gado.
 
Niliwahi kwenda kwa Doctor kipindi cha nyuma akaniambia huenda kuna tatizo sehemu fulani fulani kwenye ubongo (Perkinson) lakini hakunifanyia checkup yoyote zaidi alinishauri kwakuwa tatizo halikai muda wote na hutokea kama nilivyoelezea hapo juu. Basi nisitumie au niache kabisa kunywa kahawa na nianze mazoezi na kunywa maji kwa wingi. lakini tatizo bado linaendelea lwa vipindi hivyo.


Nina mgonjwa mwenye hilo tatizo alipuuza miaka 7 sasa limekomaa dawa hazifui dafu mwili wote umekakamaa hawezi tena kujihudumia kwa chochote....kama huu ugonjwa endelea kuupuuza ila utakuja kulia na kusaga meno
 
Wakuu,

Kama mada inavyosema hapo juu, naomba msaada wakujua tiba ya magonjwa hayo mawilii.

Maelezo;-
Kutetemeka mikono, hii hutokea mara kwa mara na zaidi zaidi pale nipofanya kazi za kutumia nguvu au hata mazoezi na mara nyingine pindi nipokasirika au kuwa na wasiwasi najikuta vidole vyote vinatikisika kwa kasi ya hali ya juu kiasi hata siwezi kuchota supu au mchuzi kwenye bakuli kwa kutumia kijiko nikanywa bila ya kumwaga kiasi kikubwa.

Maumivu ya mifupa; hili tatizo hutokea ninapo kuwa maeneo ya baridi kali.

NB: SITUMII (KUNYWA/KUVUTA) KILEVI CHA AINA YOYOTE ILE.
MAZOEZI NAFANYA CARDIO & WEIGHT TRAINING..

Nawasilisha.
Pole sana Ninaweza kukutibia na utapona. Nitafute kwa wakati wako.
Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi Mkavu
 
Back
Top Bottom