donocean Member Joined Jan 10, 2019 Posts 72 Reaction score 46 Jun 10, 2019 #1 Mim nina tatizo la kuwashwa hasa sehemu za katikati ya mapaja na kwenye ubavu chini kidogo ya mbavu pande zote. Je shida inaweza kuwa ni nin na je lipi suluhisho la ugonjwa huu, wajuvi nisaidien.
Mim nina tatizo la kuwashwa hasa sehemu za katikati ya mapaja na kwenye ubavu chini kidogo ya mbavu pande zote. Je shida inaweza kuwa ni nin na je lipi suluhisho la ugonjwa huu, wajuvi nisaidien.
Mama Debora JF-Expert Member Joined Aug 30, 2018 Posts 1,482 Reaction score 2,600 Jun 11, 2019 #2 Olympus alikua na tatizo kama lako miezi kadhaa iliopita naye alileta hapa uzi. Mcheki akupe solution
Olympus alikua na tatizo kama lako miezi kadhaa iliopita naye alileta hapa uzi. Mcheki akupe solution
heartbeats JF-Expert Member Joined Feb 10, 2014 Posts 6,736 Reaction score 10,669 Jun 11, 2019 #3 Tinea cruris., iyo just google na medication yake, huwa inaenea had ktk kati ya anus kwenye pumb huwa inawasha sana, haijalish hu msafi au mchafu inakupata tu
Tinea cruris., iyo just google na medication yake, huwa inaenea had ktk kati ya anus kwenye pumb huwa inawasha sana, haijalish hu msafi au mchafu inakupata tu