Siri Sirini JF-Expert Member Joined Mar 12, 2012 Posts 547 Reaction score 199 Apr 4, 2012 #1 Jamani mimi na familia yangu 2nasumbuliwa na ugonjwa wa macho red eyes, tu2mie dawa ipi? Mana macho yanawasha kweli
Jamani mimi na familia yangu 2nasumbuliwa na ugonjwa wa macho red eyes, tu2mie dawa ipi? Mana macho yanawasha kweli
Ndoa JF-Expert Member Joined Dec 2, 2011 Posts 1,033 Reaction score 254 Apr 4, 2012 #2 Osha macho yako kwa maji ya chumvi, kesho tu mtakuwa mmepona. Kama uko karibu na bahari osha macho kwa maji ya bahari. Ni dawa tosha.
Osha macho yako kwa maji ya chumvi, kesho tu mtakuwa mmepona. Kama uko karibu na bahari osha macho kwa maji ya bahari. Ni dawa tosha.
Asprin JF-Expert Member Joined Mar 8, 2008 Posts 68,223 Reaction score 96,083 Apr 4, 2012 #3 Ndoa said: Osha macho yako kwa maji ya chumvi, kesho tu mtakuwa mmepona. Kama uko karibu na bahari osha macho kwa maji ya bahari. Ni dawa tosha. Click to expand... Hii ni kwa mujibu wa utabibu wa kitaalamu au wa kina Profesa Maji Marefu, Mb CCM.
Ndoa said: Osha macho yako kwa maji ya chumvi, kesho tu mtakuwa mmepona. Kama uko karibu na bahari osha macho kwa maji ya bahari. Ni dawa tosha. Click to expand... Hii ni kwa mujibu wa utabibu wa kitaalamu au wa kina Profesa Maji Marefu, Mb CCM.
Siri Sirini JF-Expert Member Joined Mar 12, 2012 Posts 547 Reaction score 199 Apr 4, 2012 Thread starter #4 Ndoa said: Osha macho yako kwa maji ya chumvi, kesho tu mtakuwa mmepona. Kama uko karibu na bahari osha macho kwa maji ya bahari. Ni dawa tosha. Click to expand... Mh! C yatazidi kuwasha? Ila asante nitajaribu ushauri wako
Ndoa said: Osha macho yako kwa maji ya chumvi, kesho tu mtakuwa mmepona. Kama uko karibu na bahari osha macho kwa maji ya bahari. Ni dawa tosha. Click to expand... Mh! C yatazidi kuwasha? Ila asante nitajaribu ushauri wako