Nenda hospitali ufanyiwe uchunguzi....
1. Kuna uwezekano labda pingili za uti wa mgongo zimesagika kwenye maungio ,yaani kisahani cha maungio kimesagika kutokana na kukauka kwa yale majimaji lainishi.
2. Kuna dislocation inayopelekea mifupa kusagana.