Ugonjwa wa Miguu kufa ganzi

Ugonjwa wa Miguu kufa ganzi

loupa

Senior Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
124
Reaction score
78
Habari za humu ndani,

Kuna tatizo limetokea Mama yangu umri 56, amepata tatizo la miguu yake kufa ganzi hali inayompelekea hata kushindwa kutembea.

Kuna mda miguu yake inatetemeka (vibration) ingawa hahisi maumivu.

Ameenda hospital amepewa dawa za mifupa+za misuli lakini hali haina mabadiliko.

Naombeni msaada wa ushauri jamani.
 
Inaweza kuwa ni upungufu wa madini ya vitamini B au mwili una asidi nyingi ,ajaribu kula vyenye vitamin b kwa wingi pia kupunguza vyakula vinavyosababisha asidi kwa wingi mwilini mfano nyama nyekundu
 
Habari za humu ndani,

Kuna tatizo limetokea Mama yangu umri 56, amepata tatizo la miguu yake kufa ganzi hali inayompelekea hata kushindwa kutembea.

Kuna mda miguu yake inatetemeka (vibration) ingawa hahisi maumivu.

Ameenda hospital amepewa dawa za mifupa+za misuli lakini hali haina mabadiliko.

Naombeni msaada wa ushauri jamani.
Mkuu pole sana kwa mama yako kuwa na hayo maradhi nitafute mimi kwa wakati wake ili niweze kumtibia mama yako auguwe pole .
 
Back
Top Bottom