kwa sasa (miaka hii) hayo magonjwa ya miguu yanasababishwa na over weight, unajua uzito mkubwa wa binadanu upo juu, kuanzia magotini kuja juu, sasa kama uzito ukizidi miguu inashindwa kuimili na ukichangia miaka hii watu hawafanyi mazoezi hata ya kutembea tu, kwa wanaokimnbilia uzee ni vizuri sana kufanya mazoezi ya kuizoesha miguu kuimili uzito.,
ki ukeli dawa za miguu ni shida sana, cha kufanya ni,
kupunguza uzito, kula vyakula vyenye mafuta kidogo, viungo ni muhimu sana hasa vitunguu swaumu, asali na mdalasini nk