Nac G variente
Member
- May 8, 2019
- 5
- 0
Samahani nilikua naomba kuuliza ngozi yangu ya uso ni ya mafuta lakin na shangaa nina kama wiki ivi ngozi yangu imebadilika na kua kavu na yenye mikunjo na mabaka kwa mbali sina mafuta hata kidogo na sikuwai kutumia kipdozi chochote nataka kujua ni tatizo gani linasababisha ivi