Ugonjwa wa Pumbu Erosion Bado Upo???

Fedhuli

JF-Expert Member
Joined
Jun 24, 2013
Posts
351
Reaction score
123
Nakumbuka kibaha sec kulikuwa na fungus walikuwa wanashambulia sana korodani hivi jamani bado zipo???
 
Daah mkuu!!.kwenye heading ungetumia tafsida kidogo.kuna guest wengne under 17.Wakiona heading basi moja kwa moja wanawahi kuifungua thread wakijua mambo yao yale ya.porn video/pictures.Nimeshindwa hata nianzie wapi! Siku nyingine jitahidi kutafsida mkuu.
 
Nakumbuka kibaha sec kulikuwa na fungus walikuwa wanashambulia sana korodani hivi jamani bado zipo???


Kwa kweli kukupa jibu sahihi hapa itakuwa vigumu kidogo, bora uende kujitafutia machangu kwa ajili ya practice kisha uje kutueleza baada ya matukio mawili matatu hivi. Unaonaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…