R Ray2012 JF-Expert Member Joined Apr 1, 2012 Posts 229 Reaction score 28 Mar 17, 2019 #1 Wana jamvi mwenye ufahamu na hili gonjwa naomba atuelimishe, maana linashikaga pabaya, tusijekuta watu wanapata athari kubwa kiafya zaidi ya kujikuna. Sent using Jamii Forums mobile app
Wana jamvi mwenye ufahamu na hili gonjwa naomba atuelimishe, maana linashikaga pabaya, tusijekuta watu wanapata athari kubwa kiafya zaidi ya kujikuna. Sent using Jamii Forums mobile app
Sky Eclat JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 57,761 Reaction score 216,011 Mar 17, 2019 #2 Ngozi inakua ngumu kama ya mamba, unaamukiza na unaharibu ngozi. Ngozi ni first line of defence ikiwa na majeraha ni rahisi kupata maambukizi ya magonjwa mengine.
Ngozi inakua ngumu kama ya mamba, unaamukiza na unaharibu ngozi. Ngozi ni first line of defence ikiwa na majeraha ni rahisi kupata maambukizi ya magonjwa mengine.
Google chrome JF-Expert Member Joined Nov 26, 2017 Posts 2,276 Reaction score 12,780 Mar 17, 2019 #3 Kitu kikishaitwa ugonjwa ujue kina athari Ray2012 said: Wana jamvi mwenye ufahamu na hili gonjwa naomba atuelimishe, maana linashikaga pabaya, tusijekuta watu wanapata athari kubwa kiafya zaidi ya kujikuna. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand...
Kitu kikishaitwa ugonjwa ujue kina athari Ray2012 said: Wana jamvi mwenye ufahamu na hili gonjwa naomba atuelimishe, maana linashikaga pabaya, tusijekuta watu wanapata athari kubwa kiafya zaidi ya kujikuna. Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand...