Ugonjwa wa Selimundu (Sickle Cell) unatibika

Ugonjwa wa Selimundu (Sickle Cell) unatibika

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Jamii inatakiwa kuendelea kupewa elimu juu ya ugonjwa wa Selimundu(Sickle Cell) kwa kuwa unatibika.

Ripoti ya Tanzania Sickle Cell Disease Alliance (TANSCDA) iliyotolewa Desemba 2021 ulionesha kuwa Tanzania kuna jumla ya watoto 11,000 kila mwaka wanaozaliwa na Ugonjwa wa Selimundu

Aidha, ilionesha kuwa Mikoa ya Kanda ya Ziwa na Pwani ndipo kuna tatizo ni kubwa.
 
Back
Top Bottom