Watch it out now.Maneno kama haya yalisemwa msimu uliopita
Acha povu mzee.Unaposti ukum*
SIMBA INACHUKUA UBINGWA BILA KUFUNGWA ALAFU UNATUTAPIKIA HAPA
wewe ulizani imeisha!!Kivipi? Ligi inaendelea.
Ikitokea wanadroo mpaka mwisho ubingwa utatoka wapi?Unaposti ukum*
SIMBA INACHUKUA UBINGWA BILA KUFUNGWA ALAFU UNATUTAPIKIA HAPA
Mimi ndio maana huwa namkubali shabiki wa Simba Gentamycine huwa anatoa angalizo sana kuhusu haya yanayotokea kwa timu ya Simba katika kipindi hiki.MWADUI 2 SIMBA 2 (Bocco, Okwi)
wanawazidi Yanga points 5 tu
Sasa wakishangaa tu wapepitwa.
povu linaruhusiwa
Hahahah,,,huyu jamaa kawa shujaa leo
Sema mwaduiii anakazaa aseee..
Azam
Yanga
Simba
Wote wameambulia point 1 kambarage stadium