Ugonjwa wa tambazi

mpebasi-jr

Member
Joined
Aug 2, 2016
Posts
56
Reaction score
32
Naomba kufahamu matibabu ya ugonjwa wa tambazi ambao dalili zake ni maumivi ya mifupa ya mwili kwa ndani hasa mifupa ya mikono....
Ahsante
 
Naomba kufahamu matibabu ya ugonjwa wa tambazi ambao dalili zake ni maumivi ya mifupa ya mwili kwa ndani hasa mifupa ya mikono....
Ahsante
Tambazi ni maradhi ambayo huathiri sehemu za mapaja na husababisha uvimbe kwenye mwili.Ninakushauri kama upo mjini Dar nenda kwa wale wanaopiga chukua aka Hijama wakupige hijama sehemu yenye hiyo Tambazi utapona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…