Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

ahsante sana
 
Axante
 
Naxhukuru xana kuuj
 
Njoo PM
 
PAPAI BICHI NI DAWA YA VIDONDA VYA TUMBO (ulcers)

CHUKUA PAPAI BICHI KABISA NA ULIOSHE VIZURI.
USILIMENYE WALA KUONDOA MBEGU ZAKE.
BAADA YA KULIOSHA KIKAMILIFU, BILA KULIMENYA LIKATE KATE VIPANDE VDOGO VIDOGO.

WEKA VIPANDE HIVYO KWENYE CHOMBO SAFI, KWA MFANO JAGI.

WEKA MAJI SAFI HADI USAWA WA VIPANDE HIVYO ULIVYOKWISHA WEKA KWENYE CHOMBO CHAKO.

TUNZA MCHANGANYIKO HUO (VIPANDE VYA PAPAI VIKIWA VIMELOWEKWA KWENYE MAJI) KWA SIKU NNE. HESABU SIKU, KWA MFANO KAMA UMELOWEKA MCHANGANYIKO HUU JUMATATU, ANZA KUHESABU JUMANNE, JUMATANO, ALHAMISI NA IJUMAA ITAKUWA SIKU YA NNE.

SIKU HIYO YA NNE, MAJI YATAKUWA YAMEBADILIKA RANGI NA KUWA MEUPE, CHUJA VIZURI KUTENGANISHA MAJI NA VIPANDE VYA PAPAI NA KIMSINGI MAJI HAYA NDIO TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO.
DOZI

KUNYWA NUSU GLASI YA MAJI HAYA KILA SIKU ASUBUHI, MCHANA NA JIONI. HAUTASIKIA TENA MAUMIVU KWASABABU MAJI HAYA YANATIBU KABISA VIDONDA VYA TUMBO AMBAVYO VINAKUSABABISHIA MAUMIVU UNAYOYASIKIA.
UTAENDELEA KUNYWA KWA UTARATIBU HUO KWA WIKI KADHAA, HII INATEGEMEA UMEISHAATHIRIKA KWA KIASI GANI NA VIDONDA HIVI, HIVYO TUMIA DAWA HII HADI UTAKAPOPONA KABISA. HATA HIVYO NI MUHIMU KUPIMA ILI KUJUA KIASI CHA MAENDELEO UTACHOKUWA UMEFIKIA (RECOVERY)
 
Ninaweza kuunga mkono hili,kuna mtoto wa ndugu yangu alishikwa na vidonda vya tumbo vikali sana mpaka ikawa hawezi kuingiza kitu tumboni,tulihangaika sana mahospitalini Dar bila dawa kupatikana,ila alienda Moshi akapewa dawa ya majani unachanganya na maji,alipona wiki hiyo hiyo na mzima mpaka leo,kibaya zaidi mama wa huyo kijana ambaye ndio alikuwa naye bega kwa bega kumuuguza alifariki miaka kama 3 iliopita,Sasa sijui yule babu kama bado yuko hai,maana ni karibu miaka 10 imepita...
 
sawa sawa inaonekana kwako maumivu si makubwa
Mkuu mimi maumivu yamepungua sana tu ndiomaana sijatumia huo mkojo, nilirudi hospital wakanipa dawa inaitwa pantonix, ni nzuri sana nahisi napona
 

Attachments

  • IMG_20190515_054401.jpg
    73 KB · Views: 121
Mkuu mimi maumivu yamepungua sana tu ndiomaana sijatumia huo mkojo, nilirudi hospital wakanipa dawa inaitwa pantonix, ni nzuri sana nahisi napona
walikupima wakakuandikia ama na vyako Vina mda gani mkuu? hiyo dawa bei gani?
 
Mimi mchagga hayo majani yanaitwaje mkuu
 
walikupima wakakuandikia ama na vyako Vina mda gani mkuu? hiyo dawa bei gani?
Walinipima ndio walisema kuna michubuko tumboni, nilitumia bima kwahiyo sijui bei take.lla kuna siku nilitaka kununua dukani nilikuta vidonge 30 ni elfu 30. Vidonda vyangu vimenitesa kwa miaka 4 sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…