Dr.adams faida
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 1,888
- 3,352
Chukua triple therapy
Caps amoxicillin 500mg tds kwa siku 7
Tabs metronidazole 400mg tds kwa siku 7
Cap omeprazole 20mg bd kwa siku 7
pia waweza tumia ULGEL syrup.
Hii kwa mgonjwa yoyote wa vidonda vya tumbo? Mimi pia vinantesa sana ila sijafikia hatua ya huyo mgonjwa,tumbo kujaa gesi na kichefuchefu kutwaChukua triple therapy
Caps amoxicillin 500mg tds kwa siku 7
Tabs metronidazole 400mg tds kwa siku 7
Cap omeprazole 20mg bd kwa siku 7
pia waweza tumia ULGEL syrup.
Ongeza locid suspension au relcerChukua triple therapy
Caps amoxicillin 500mg tds kwa siku 7
Tabs metronidazole 400mg tds kwa siku 7
Cap omeprazole 20mg bd kwa siku 7
pia waweza tumia ULGEL syrup.
Ushauri uliopewa na wenzangu asipo pona huyo rafiki yako mwambie anaitafute mimi ninaweza kumtibu vidonda vyake vya Tumbo na akapona ukihitaji tiba toka kwangu Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169Wanajanvi habari ya kazi. Naomba msaada wa haraka sana. Nina rafiki yangu kipenzi anaumwa kiasi cha kukata Tamaa. Anaumwa vidonda sugu vya tumbo kiasi kwamba vimempelekea tumbo kuvimba sana. Kuna kipindi alikuwa anaharisha na kutapika damu coz of hivyo vidonda. Amejaribu dawa nyingi sana lakini hakuna mafanikio. But sasa vimemvimbisha tumbo na vinamtesa balaa kiasi cha kumkatisha tamaa ya kuishi. NAAMINI HAPA JUKWAANI SIWEZI KUKOSA DAWA NA TIBA. MUNGU AKUBARIKI WOTE MTAKAONISAIDIA
Madonda ya tumbo je? watu kuamin kumekuwa vigumu, lkn kwa ww ambaye unasumbuliwa na tatizo hilo ucijiulize mara mbili mbili tiba ndoo hiyo, karibun xana . Asanten na jion njema