AKILI TATU
JF-Expert Member
- Feb 10, 2016
- 2,659
- 2,827
dah mkuu hamna watu hadi time hiiPole Sana mkuu, subiri waje.
mkuu,kiufupi ni hivi,nilikuwa na rafiki yangu mmoja ambaye hivi karibuni alifariki dunia,sasa nilipouliza chanzo hasa kilichopelekea kif chke nikaambia alikuwa kitandani kwa wiki mbili nyuma kabla ya kifo chake akihangaika na ugonjwa huo yani wadudu kuingia kwenye uti wa mgongo na kutafuna ubongo,ndio maana nikataka kujua huu ni ugonjwa gani coz jamaa alikua rafiki yangu mkubwa sana na kifo chake hata leo nasononekaEbu fafanua vizuri wadudu wanao kula uti wa mgongo una maanisha nn au ulitaka kusema nn hapo? Pangilia swal vizuri au una maanisha MENINGITIS.?? TAXOPLASMA GONDII??? CRYPTOCCOCCUS MENINGITIS..?? MENINGOCOCCOS..??
Jaribu kuangalia izo uone swali lako limelenga wapi kati ya hizo inflamation..??
kivip hujanielewa mkuu?Hujaeleweka mkuu
Aseeh!! ilinibidi nigusishe kidevu kifua!!..Dalili kubwa ya huu ugonjwa ni homa, maumivu makali ya uti wa mgongo, dalili kubwa ya huu ugonjwa ni stiff neck shingo inakuwa ina kakamaha mgonjwa ana shindwa gusisha kidevu kwenye kifua.
Hii homa ya uti wa mgongo ina sababisha vifo vingi vya haraka kama mtu hajapata matibabu kwa u haraka.
dah,mkuu asante sana kwa kunijuza hayo,walau sasa naweza kupata mwanga halisi juu ya kile chenye kilichoweza kumuangamiza jamaa yangu,sijataja dalili coz wik nnei nyuma kabla hajafariki nilipokutana naye alikuwa yuko powa kwa kumuangalia,coz tulistorika mengi sana ya kimaisha,then toka hapo sikuwa na mawasilian naye zaid y kuja kupata taarifa za kifo chake.Sawa mkuu ila kwakuwa hauja taja dalili wala kiashiria chchte chaku onyesha ni ugonjwa gani kati ya hayo hapo juu inakuwa ngumu kuku elewesha. Lakini common huwa ni cryptoccocus Meningites. Huu ugonjwa huenezwa na fungal aina ya cryptoccocus hushambulia uti wa mgongo na mfumo mzima kwa ujumla.
Transmtion: huambukizwa kwanjia ya hewa pia kwanjia ya vumbi saana sana. Pia huwapata watu ambao kinga zao za mwili zimeshuka sana sana HIV +ve.
Dalili kubwa ya huu ugonjwa ni homa, maumivu makali ya uti wa mgongo, dalili kubwa ya huu ugonjwa ni stiff neck shingo inakuwa ina kakamaha mgonjwa ana shindwa gusisha kidevu kwenye kifua.
Diagnosis yake ni CSF( celebral spinal fluid) hii fluid huvutwa kwnue lumber pingili za uti wa mgongo... ni moja kati ya specimen collection inayo uma saana hosptal nafikir kuliko zote.
Hii homa ya uti wa mgongo ina sababisha vifo vingi vya haraka kama mtu hajapata matibabu kwa u haraka.
Nkipata mda nita ya elezea hayo mengine alafu ww uta unganisha dot.....
Mkuu hizo ni imani potofu...sidhani kama kuna ugojwa wowote wa uti wa mgongo unao husiana na ushoga ...dah,mkuu asante sana kwa kunijuza hayo,walau sasa naweza kupata mwanga halisi juu ya kile chenye kilichoweza kumuangamiza jamaa yangu,sijataja dalili coz wik nnei nyuma kabla hajafariki nilipokutana naye alikuwa yuko powa kwa kumuangalia,coz tulistorika mengi sana ya kimaisha,then toka hapo sikuwa na mawasilian naye zaid y kuja kupata taarifa za kifo chake.
nakumbuka niliwahi kuuliza watu wengine wa nnje ya jf kila mtu akawa na jibu lake lakini main jibu wakanijibu kuwa gonjwa hilo linahusianishwa na mambo ya kishoga,yani mtu mwenye kuingiliwa mara kwa mara sasa madhara yake ni shahawa zile kuingia kwenye uti wa mgongo na kuzalisha bacteria wanaokula hadi ubongo.
nilipopata jibu hilo sikuridhika nalo hasa coz nilikuwa namjua fika huyu jamaa yangu vema sasa nikawa nimepatwa na mshangao juu ya sababu za ugonjwa huo na maisha yake,(japo inawezekana alikuwa anafanya kisiri,hilo sina uhakika kwa kuwa sikuwa nipo naye kila siku) lakini kimuonekano hakuwa na viashiria vya kunifanya niamini kuwa jamaa alikuwa punga..
ndiyo maana nikaja hapa jf kujua zaidi,maana binafsi nilianza kukosa furaha na uzuni yangu ikaongezeka maradufuMkuu hizo ni imani potofu...sidhani kama kuna ugojwa wowote wa uti wa mgongo unao husiana na ushoga ...
doh,so kumbe inawezekana hata huyu jamaa yangu alikuwa ameathirika siyo?Ila huu ugonjwa wengi c rahisi kumpata mtu wa kawaida mala nyingi huwapata watu wenye HIV coz kinga zao zinakua ndogo saana ila otherwise mwili unaweza kuzuia fresh nakumbuka banza stone pia huu ugonjwa ndio uliomuondoa dunian pia kuna bro kigogo pale nae huu ugonjwa umemuondoa ko mara nyingi HIV positive wako katika hatari kubwa sana ya kushambuliwa na hu ugonjwa
Hakuna ukwel wowote hapo maana mara nyingi hao fangasi wanakuwa ni opportunistic disease kwa watu wenye HIV +ve lakin ata watu wa kawaida upata japo kwa shida... pia kama ni taxoplasma pia nao ni nyemelezi... hivyo hakna lolote linalo husiana na mapenzi hapo. Wala ushoga. Wa bongo ni watu wakusema ovyo.dah,mkuu asante sana kwa kunijuza hayo,walau sasa naweza kupata mwanga halisi juu ya kile chenye kilichoweza kumuangamiza jamaa yangu,sijataja dalili coz wik nnei nyuma kabla hajafariki nilipokutana naye alikuwa yuko powa kwa kumuangalia,coz tulistorika mengi sana ya kimaisha,then toka hapo sikuwa na mawasilian naye zaid y kuja kupata taarifa za kifo chake.
nakumbuka niliwahi kuuliza watu wengine wa nnje ya jf kila mtu akawa na jibu lake lakini main jibu wakanijibu kuwa gonjwa hilo linahusianishwa na mambo ya kishoga,yani mtu mwenye kuingiliwa mara kwa mara sasa madhara yake ni shahawa zile kuingia kwenye uti wa mgongo na kuzalisha bacteria wanaokula hadi ubongo.
nilipopata jibu hilo sikuridhika nalo hasa coz nilikuwa namjua fika huyu jamaa yangu vema sasa nikawa nimepatwa na mshangao juu ya sababu za ugonjwa huo na maisha yake,(japo inawezekana alikuwa anafanya kisiri,hilo sina uhakika kwa kuwa sikuwa nipo naye kila siku) lakini kimuonekano hakuwa na viashiria vya kunifanya niamini kuwa jamaa alikuwa punga..
Hhakuna ushaidi hapo. Hiyo ni homa ya uti wa mgongo ni kama homa zingine tu.doh,so kumbe inawezekana hata huyu jamaa yangu alikuwa ameathirika siyo?
Sawa mkuu ushahidi haupo ila kwa kawaida huo ugonjwa n ngumu kumpata mtu mwenye kinga nzuri ya mwili datc why wanahusianisha sana na ukimwi..........Hhakuna ushaidi hapo. Hiyo ni homa ya uti wa mgongo ni kama homa zingine tu.
50% possblty.. usi kariri mdogo wangu.Sawa mkuu ushahidi haupo ila kwa kawaida huo ugonjwa n ngumu kumpata mtu mwenye kinga nzuri ya mwili datc why wanahusianisha sana na ukimwi..........
kumbuka kuna bacterial meningitis , ambayo sio HIV opportunistic infection. Inapiga mtu yeyote.Ila huu ugonjwa wengi c rahisi kumpata mtu wa kawaida mala nyingi huwapata watu wenye HIV coz kinga zao zinakua ndogo saana ila otherwise mwili unaweza kuzuia fresh nakumbuka banza stone pia huu ugonjwa ndio uliomuondoa dunian pia kuna bro kigogo pale nae huu ugonjwa umemuondoa ko mara nyingi HIV positive wako katika hatari kubwa sana ya kushambuliwa na hu ugonjwa
huenda ikawa hivyo lakini pia huenda ikawa sivyo.doh,so kumbe inawezekana hata huyu jamaa yangu alikuwa ameathirika siyo?