Ugonjwa wa Zinaa

yahya audax

Member
Joined
Apr 26, 2013
Posts
5
Reaction score
0
Jaman uwez amin kuhumwa niki2 kibya sana tena endapo aujui unacho umwa kuna jamaa katibiwa kila hosapital lakin akuna nafuu ila alikutana na doctor kutoka tumbi akagundua ansumbuliwa na ciphilicx gonjwa la zinaa vipele mwili mzim adi kutengwa kumbe aja athirika
 
Ndio
Ugonjwa sio kitu kizuri ila binadamu hatujakamilika ndo mana tunapata maradhi...ila ya zinaa watu wanapata kwa kutozingatia ngono salama
 

Akamtukuze Mungu wake!!!!
 
pole sana mkuu kwa yaliyokukuta ,ni wewe mwenyewe unajifanya eti jamaa.nendeni hospitali mapema .mficha ucho hazai!!!!
 
Yaani mtu aumwe STD halafu madaktari tushindwe kugundua! La hasha nadhani huyo alikuwa ni mchoyo wa maelezo kwa madaktari wengine kwa kuwa alishatambua aibu itayo mpata.
Hongera kwa madaktari wa Tumbi kwa kuwa wadadisi zaidi.
Na kwa wewe mgonjwa, naona mnajitafutia matatizo ya bure kwa kukosa uwazi.
 

Hivi Dr unacheza na ciphilicx wewe.......hiyo hata CT Scan haioni.......he he he..... najua wewe unadhani ni syphilis......sio hiyo......

MD PHd Preta......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…