Ugoro unaharibu meno yangu

Ugoro unaharibu meno yangu

kiben10

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2018
Posts
613
Reaction score
791
Naombeni ushauri, mimi ni kijana wa umri wa miaka 27 ila ninapenda kula UGORO kwa takribani miaka 6 sasa toka niko A level Morogoro Sekondari, Chuo UDSM na sasa niko kitaa nawait ajira ila kila nikitaka kuacha kula Siwezi kabisa. Sasa nishaurini Dawa ya kuacha kula UGORO maana ndio STIMU yangu ya kila siku kutwa zaidi ya mara 7 lazima nile.
 
Ha ha ujana mwingine wa Kingese sana, yaaani si bora ungekula bange basi kuliko ugoro. Hapo ni kuamua tu kwamba sasa naacha upambane na arosto weee uishinde hamna kingine.
 
Naombeni ushauri, mimi ni kijana wa umri wa miaka 27 ila ninapenda kula UGORO kwa takribani miaka 6 sasa toka niko A level Morogoro Sekondari, Chuo UDSM na sasa niko kitaa nawait ajira ila kila nikitaka kuacha kula Siwezi kabisa. Sasa nishaurini Dawa ya kuacha kula UGORO maana ndio STIMU yangu ya kila siku kutwa zaidi ya mara 7 lazima nile.
Apo ukiacha geji unabd uanzee kula fegi ili kupotezea arosto mkuu
 
Kuwa na Nia ya dhati kabisa ya kuacha na anza kuacha pole pole. Kama ulikuwa unakula Mara 7, punguza Hadi Mara 6 then 5 Hadi uache kabisa. Huwezi kuacha kwa gafla Utapata arosto, pole pole tu Hadi mwili uzoee.

Pia omba Mungu Maana kutoka kwenye addiction ni ngumu, wengi wanaacha Halafu Wana relapse Yani wanarudia Tena.
All the best Brother
 
Kuwa na Nia ya dhati kabisa ya kuacha na anza kuacha pole pole. Kama ulikuwa unakula Mara 7, punguza Hadi Mara 6 then 5 Hadi uache kabisa. Huwezi kuacha kwa gafla Utapata arosto, pole pole tu Hadi mwili uzoee.

Pia omba Mungu Maana kutoka kwenye addicted ni ngumu, wengi wanaacha Halafu Wana relapse Yani wanarudia Tena.
All the best Brother

Shukrani sana kwa ushauri wako mzuri
 
Nyambafuuuuu umekuwaa mama yeyoooo au baba yeyoooo unakula ngishujiiii....tabalaananuu koriekaaa
 
Back
Top Bottom