swali zuri, ugumba ni hali ya mwanaume kushndwa kutoa sperms zenye uwezo wa kumpa mwanamama mimba.
Kuna ugumba wa kuzaliwa nao na ule unaosababishwa na magonjwa mbalimbal mwilin hususan zinaa, wale wanaopenda tigo/anul sex pia inaweza ziba mirija ya uzaz ivo kukufanya mgumba.
Ugumba wa kuzaliwa nao huwez kupona cz matakwa ya muumba
ugumba wa magonjwa nao huwez pona unles kama uliwai matibabu mapema kabla ya kuitwa mgumba.
Haijawai kutokea mgumba kuzaa na ikitokea then hukuwa mgumba bali mabadiliko 2 ya ukuaji ktk mwili.
#Damu inaweza sababisha watu kuchelewa kupata watoto. Na mara nying mimba ni matokeo ya pande mbil then upande mmoja hua unakua umezdwa tatizo thats why mimba inachelewa
MAELEZO HAYO JUU SI YA KITAALAMU NIMEJARIBU KUKUPA JAPO MWANGA SUBIRI KINA MZIZI MKAVU KWA MAELEZO YALIYOKWENDA SKONGA, WAVEJA SANA!