Ugumu wa kushika ujauzito

Ugumu wa kushika ujauzito

Aurora

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2014
Posts
7,308
Reaction score
5,272
Kuna wanandoa waliokaa karibu miaka minne bila kupata mtoto iliyopelekea kugombana na kuachana lakini baada ya kila mtu kushika njia yake,yule dada alifanikiwa kupata ujauzito/mtoto na yule kaka alioa tena na kufaniaakaiwa kupata mtoto. SHIDA ILIKUWA NI NINI HASA? Watu wanasema eti damu zao hazikuendana kuna ukweli wowote hapo?
 
huyo Kaka alikua ana matatizo,huyo mtoto wa sasa kabambikiwa simple and clear,akapime DNA kama wa kwake
 
Mmh, damu haziendani? Kwani sperm na yai zinakuwaga na damu? Walau ingekuwa mimba zinashika, halafu zinaharibika.

Kaka ajikague, naskia harufu ya mamluki. Au alienda kutibiwa labda.
 
  • Thanks
Reactions: lin
Kuna wanandoa waliokaa karibu miaka minne bila kupata mtoto iliyopelekea kugombana na kuachana lakini baada ya kila mtu kushika njia yake,yule dada alifanikiwa kupata ujauzito/mtoto na yule kaka alioa tena na kufaniaakaiwa kupata mtoto. SHIDA ILIKUWA NI NINI HASA? Watu wanasema eti damu zao hazikuendana kuna ukweli wowote hapo?
Hao wana ndo waambie wanitafute mimi nitawapa Dawa yangu na watazaa nitawapa kwa gharama sio bure wakiweza kunitafuta bonyeza hapa.Mawasiliano
 
  • Thanks
Reactions: lin
Back
Top Bottom