Ugumu wa Maisha: CHADEMA hamasisheni tuandamane nchi nzima

Ugumu wa Maisha: CHADEMA hamasisheni tuandamane nchi nzima

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
ELIAH_NGASE🅰_on_Instagram__“Niyeye!!!!”__.jpg

Kwa ufupi sana
Nimesoma mikutano itaanza hivi karibuni.

Katika mikutano yenu mtaeleza ajenda mbalimbali ikiwemo katiba mpya na ugumu wa maisha. Hayo yote tunayajua. CCM wanajua vyote hivyo ila wamekaza mashavu. Kwa hiyo kusema tu haitoshi inatakiwa twende extra miles.

Hamasisheni maandamano tuitie adabu serikali hii iliyoshindwa. Kama ni mchele 3,500 kila mtu anajua. Sasa tufanyaje nadhani ni kuandamana na kuuwasha moto, tuimbe nyimbo za ukombozi. Kama tukikubaliana kumtoa mtu madarakani basi aondoke hata kesho.

Na nyinyi watanzania mkiamshwa muamke. Tukiamka hawa hawatawezi kutuzima. Sio kulialia bila kuchukua hatua mpaka tunadharaulika.

Kwa ufupi ni hayo tu.
 
Kwa ufupi sana
Nimesoma mikutano itaanza hivi karibuni.
Katika mikutano yenu mtaeleza ajenda mbalimbali ikiwemo katiba mpya na ugumu wa maisha. Hayo yote tunayajua. CCM wanajua vyote hivyo ila wamekaza mashavu. Kwa hiyo kusema tu haitoshi inatakiwa twende extra miles.

Hamasisheni maandamano tuitie adabu serikali hii iliyoshindwa. Kama ni mchele 3,500 kila mtu anajua. Sasa tufanyaje nadhani ni kuandamana na kuuwasha moto, tuibe nyimbo za ukombozi. Kama tukikubaliana kumtoa mtu madarakani basi aondoke hata kesho.

Na nyinyi watanzania mkiamshwa muamke. Tukiamka hawa hawatawezi kutuzima. Sio kulialia bila kuchukua hatua mpaka tunadharaulika.

Kwa ufupi ni hayo tu.
99.9999999999999999999999999999999999999999% ya watanzania tu waoga! hata mimi na wewe na yule, tu waoga wa kufa!
 
Msimchokonoe Bi, mkubwa.
Lasivyo akibadilisha mtazamo wake. Mnaweza kufikia pa Baya kabisa na asiwepo wa kusaidia.
Nafikiri huu ni Muda wa vyama pinzani Kukaa na Kuangalia Upya Kuimarisha Taasisi Zao. Huku wakitumia uhuru wa kidemokrasia na Katiba kuunganisha wananchi na Kuirudisha Imani Ile iliyopotea.

#Mungu ibariki Tanzania
 
Msimchokonoe Bi, mkubwa.
Lasivyo akibadilisha mtazamo wake. Mnaweza kufikia pa Baya kabisa na asiwepo wa kusaidia.
Nafikiri huu ni Muda wa vyama pinzani Kukaa na Kuangalia Upya Kuimarisha Taasisi Zao. Huku wakitumia uhuru wa kidemokrasia na Katiba kuunganisha wananchi na Kuirudisha Imani Ile iliyopotea.

#Mungu ibariki Tanzania
Kwa hiyo kuandamana ni kinyume na katiba au kutumia uhuru vibaya?! Ona huyu
 
View attachment 2488746
Kwa ufupi sana
Nimesoma mikutano itaanza hivi karibuni.
Katika mikutano yenu mtaeleza ajenda mbalimbali ikiwemo katiba mpya na ugumu wa maisha. Hayo yote tunayajua. CCM wanajua vyote hivyo ila wamekaza mashavu. Kwa hiyo kusema tu haitoshi inatakiwa twende extra miles.

Hamasisheni maandamano tuitie adabu serikali hii iliyoshindwa. Kama ni mchele 3,500 kila mtu anajua. Sasa tufanyaje nadhani ni kuandamana na kuuwasha moto, tuibe nyimbo za ukombozi. Kama tukikubaliana kumtoa mtu madarakani basi aondoke hata kesho.

Na nyinyi watanzania mkiamshwa muamke. Tukiamka hawa hawatawezi kutuzima. Sio kulialia bila kuchukua hatua mpaka tunadharaulika.

Kwa ufupi ni hayo tu.
Ndio maana nasema hii Nchi imejaa watu wajinga sana! Na wengi wao wamejificha katika Vyama vya Upinzani kwa kisingizio cha kuikataa CCM!

Sasa swali langu la msingi kwa huyu " Mbuzi" mleta mada,Je bei ya mchele sokoni hushushwa kwa maandamano?

Je, kuna maghala CCM wameficha mchele hawataki kutoa bure kwa Wananchi?
Viongozi wa upinzani wekezeni ktk kuelimisha hawa " mbuzi" wenu!

Hali ya ugumu wa maisha haitaki kuelezewa Bali tunataka mikakati ya utatuzi.
Uzalishaji unatakiwa uongezwe maana walaji wasiozalisha wameongezeka ktk Taifa hili.

Kama huyu mleta mada utakuta kutwa limelakaa kubet na kushabikia mpira wa Simba na Yanga, halizalishi chochote zaidi ushuzi halafu linataka maandamano ya kushusha bei ya mchele sokoni!
 
Ndio maana nasema hii Nchi imejaa watu wajinga sana! Na wengi wao wamejificha katika Vyama vya Upinzani kwa kisingizio cha kuikataa CCM!

Sasa swali langu la msingi kwa huyu " Mbuzi" mleta mada,Je bei ya mchele sokoni hushushwa kwa maandamano?

Je, kuna maghala CCM wameficha mchele hawataki kutoa bure kwa Wananchi?
Viongozi wa upinzani wekezeni ktk kuelimisha hawa " mbuzi" wenu!

Hali ya ugumu wa maisha haitaki kuelezewa Bali tunataka mikakati ya utatuzi.
Uzalishaji unatakiwa uongezwe maana walaji wasiozalisha wameongezeka ktk Taifa hili.

Kama huyu mleta mada utakuta kutwa limelakaa kubet na kushabikia mpira wa Simba na Yanga, halizalishi chochote zaidi ushuzi halafu linataka maandamano ya kushusha bei ya mchele sokoni!
Chama tawala kimejaa watu wa hovyo sana, ona ulichoandika...hovyo kabisa!!
 
View attachment 2488746
Kwa ufupi sana
Nimesoma mikutano itaanza hivi karibuni.

Katika mikutano yenu mtaeleza ajenda mbalimbali ikiwemo katiba mpya na ugumu wa maisha. Hayo yote tunayajua. CCM wanajua vyote hivyo ila wamekaza mashavu. Kwa hiyo kusema tu haitoshi inatakiwa twende extra miles.

Hamasisheni maandamano tuitie adabu serikali hii iliyoshindwa. Kama ni mchele 3,500 kila mtu anajua. Sasa tufanyaje nadhani ni kuandamana na kuuwasha moto, tuimbe nyimbo za ukombozi. Kama tukikubaliana kumtoa mtu madarakani basi aondoke hata kesho.

Na nyinyi watanzania mkiamshwa muamke. Tukiamka hawa hawatawezi kutuzima. Sio kulialia bila kuchukua hatua mpaka tunadharaulika.

Kwa ufupi ni hayo tu.
Mimi kama mjasiliamali wa kuprinti tisheti nimeanza kupokea order za kuprint tisheti zenye picha ya hayati Magufuli zitazovaliwa siku ya mkutano mkubwa wa Chadema pale jijini Mwanza.

Mtu mmoja aliyenipa order aliuliza.....
Tisheti za JPM zinauzwa wapi, ndio za kuvaa nyakati hizi za mikutano sasa, bila kujali upo mkutano gani, no matter what kuna ujumbe utapenya... tena wenye nguvu... usiobezeka..

Njooni Mwanza tuwalie hela zenu na mtueleze kwa nini mlishangilia kifo cha Magufuli, na mtueleze pia kwa nini watoto wa Mbowe ,Lisu na Lema ni raia wa Marekani.

Niko hapa naprint za kutosha
 
Ndio maana nasema hii Nchi imejaa watu wajinga sana! Na wengi wao wamejificha katika Vyama vya Upinzani kwa kisingizio cha kuikataa CCM!

Sasa swali langu la msingi kwa huyu " Mbuzi" mleta mada,Je bei ya mchele sokoni hushushwa kwa maandamano?

Je, kuna maghala CCM wameficha mchele hawataki kutoa bure kwa Wananchi?
Viongozi wa upinzani wekezeni ktk kuelimisha hawa " mbuzi" wenu!

Hali ya ugumu wa maisha haitaki kuelezewa Bali tunataka mikakati ya utatuzi.
Uzalishaji unatakiwa uongezwe maana walaji wasiozalisha wameongezeka ktk Taifa hili.

Kama huyu mleta mada utakuta kutwa limelakaa kubet na kushabikia mpira wa Simba na Yanga, halizalishi chochote zaidi ushuzi halafu linataka maandamano ya kushusha bei ya mchele sokoni!
Serikali inatakiwa ku regulate bei ya bidhaa sokoni, kuacha bidhaa zipande bei kiholela huku hali ya wananchi wako ikizidi kuwa mbaya kiuchumi, ni dalili ya kwanza ya serikali iliyoshindwa kazi, tena hapa bila kuleta habari ya vita ya Urusi vs Ukraine, au biashara ya Soko Huria.

Kwanini maandamano?

Tangu watu waanze kulalamika kuhusu upandaji bei wa bidhaa kiholela, serikali imekuwa slow sana kuchukua hatua, hatua ya mwisho ni kutoa chakula ghalani iliyotangazwa na waziri wa Kilimo, Bashe..

Lakini pamoja na hiyo, bado hatuoni jitihada nyingine za dhati kumaliza tatizo, bado bei ya bidhaa za chakula hasa nafaka imekuwa ikizidi kupanda, sasa serikali iliyolala namna hii lazima iamshwe kwa njia nyingine, na njia hiyo sio nyingine bali ni maandamano.

Matumizi mabaya ya lugha uliyotumia kwa mleta mada hayaongezi ubora wa hoja zako, umeiokoa serikali na lawama kama vile haiongozi nchi, sasa sijui unataka wapinzani walaumiwe kwa kosa gani hapa, kama ni mikakati unayodai, hiyo imekuwepo siku nyingi, tatizo utekelezaji toka kwa serikali ndio mdogo.
 
Hizi ndio hasara za bangi. Ugumu ukiwa kwako usiufanye kwa kila mtu
 
Back
Top Bottom